Wana jf,supose ww ungekuwa ndo mbunge wa cdm umetendw haya ungfnyj?
0.kura zenu za uraisi zmchakachuliwa
1.umenyimwa haki ya kushiriki kumchagua meya arusha
2.umekamatwa ukitetea haki na kuswekwa lupango
3.umebaniwa nafas ya kutoa maoni bungen
4.mapendekezo yako ya katiba yamepuuzwa na rais.ni hatua gani ungechukua?
0.kura zenu za uraisi zmchakachuliwa
1.umenyimwa haki ya kushiriki kumchagua meya arusha
2.umekamatwa ukitetea haki na kuswekwa lupango
3.umebaniwa nafas ya kutoa maoni bungen
4.mapendekezo yako ya katiba yamepuuzwa na rais.ni hatua gani ungechukua?