Elections 2010 Ungefanya nini??

KakaKiiza

JF-Expert Member
Feb 16, 2010
11,574
8,592
Nimepokea kwamasikitiko habari ya kutupwa pingamizi lilokuwa limewekwa na Cahama cha Chadema dhidi ya mombea wa ccm Rais jakaya Kikwete!
Kutokana na makosa yaliyofanywa na CCM!Hapo ndo unapoona kwamba uwanja wa demokrasia haupo na wala si mpana kama inavyotangazwa!!
Turudi kwa Mweshimiwa Tendwa mimi nimemuonea huruma maana alipewa kaa la moto alikumbatie kulipeleka kwa jirani hivyo alitakiwa kuhakikisha linafika hakuwa na jinsi yoyote!!wewe chukulia niwewe umepewa jukumu hilo ungefanya nini??tafakari natoa jibu hapa na tusiongelee unazi au ushabiki na uzingatie Demokrasia ya Afrika,Tanzania!!:A S check_03:
 
Nimepokea kwamasikitiko habari ya kutupwa pingamizi lilokuwa limewekwa na Cahama cha Chadema dhidi ya mombea wa ccm Rais jakaya Kikwete!
Kutokana na makosa yaliyofanywa na CCM!Hapo ndo unapoona kwamba uwanja wa demokrasia haupo na wala si mpana kama inavyotangazwa!!
Turudi kwa Mweshimiwa Tendwa mimi nimemuonea huruma maana alipewa kaa la moto alikumbatie kulipeleka kwa jirani hivyo alitakiwa kuhakikisha linafika hakuwa na jinsi yoyote!!wewe chukulia niwewe umepewa jukumu hilo ungefanya nini??tafakari natoa jibu hapa na tusiongelee unazi au ushabiki na uzingatie Demokrasia ya Afrika,Tanzania!!:A S check_03:
umepokea toka kwa nani? Tuwekee source plz
 
Nimepokea kwamasikitiko habari ya kutupwa pingamizi lilokuwa limewekwa na Cahama cha Chadema dhidi ya mombea wa ccm Rais jakaya Kikwete!
Kutokana na makosa yaliyofanywa na CCM!Hapo ndo unapoona kwamba uwanja wa demokrasia haupo na wala si mpana kama inavyotangazwa!!
Turudi kwa Mweshimiwa Tendwa mimi nimemuonea huruma maana alipewa kaa la moto alikumbatie kulipeleka kwa jirani hivyo alitakiwa kuhakikisha linafika hakuwa na jinsi yoyote!!wewe chukulia niwewe umepewa jukumu hilo ungefanya nini??tafakari natoa jibu hapa na tusiongelee unazi au ushabiki na uzingatie Demokrasia ya Afrika,Tanzania!!:A S check_03:
Kwako wewe ingekuwa maamuzi mazuri tu kama chadema wakishinda hata kama madai hayana msingi
 
Back
Top Bottom