Kila mmoja wetu nadhani kwa njia moja ama nyingine ameguswa na matukio ya kila aina yanayotokea hapa nchini. Watu wengi wamekuwa wakirusha lawama za kila aina kwa mh. JK.
Sasa inawezekana kabisa hapo alipo amezidiwa na hajui afanye nini kwani aidha washauri wake wakuu wanamuangusha ama hawasikilizi au inawezekana pia, wote hawana mikakati yoyote. Inawezekana kabisa wanaona nchi inavyokwenda ni sahihi kabisa.
Sasa je mwana JF, ungefanya nini katika kipindi cha mwezi mmoja tu ambacho ungejaliwa kuwa RAIS wa nchi hii?
Only constructive suggestions and opinions are needed na wala si utani na matusi kwani tunakusanya maoni tuyafanyie
kazi.
KARIBUNI KUCHANGIA.:welcome:
Sasa inawezekana kabisa hapo alipo amezidiwa na hajui afanye nini kwani aidha washauri wake wakuu wanamuangusha ama hawasikilizi au inawezekana pia, wote hawana mikakati yoyote. Inawezekana kabisa wanaona nchi inavyokwenda ni sahihi kabisa.
Sasa je mwana JF, ungefanya nini katika kipindi cha mwezi mmoja tu ambacho ungejaliwa kuwa RAIS wa nchi hii?
Only constructive suggestions and opinions are needed na wala si utani na matusi kwani tunakusanya maoni tuyafanyie
kazi.
KARIBUNI KUCHANGIA.:welcome: