Ungefanya nini au kipi tofauti?

Mtazamaji

JF-Expert Member
Feb 29, 2008
5,937
1,437
Great thinker wa jf wewe ungekuwa na dhamani ya uongozi ungefanya nini na kipi tofauti?

mara nyingi siku tunawakosoa tunanyoonhsea vidole,

  • siasa na vyama vya siasa kama CCM, ,CUF CDM
  • baadhi ya viongozi kama JK, Zittto , magufuli,Mbowe, Dr Slaa Lipumba, etc
  • Mashirika kama TANESCO, TTCL, DAWAZA NSSF, NHC,
Je wewe ungekuwa Rais, Waziri, mbunge kiongozi wa chama chaupinzani au kiongozi wa chama tawala ungefanya nini cha tofauti.

Iwe ni Elimu, michezo, mindmbinu, fya fedha, etc tuwasilishe ideas zetu hapa .

Tuchague position yeyote tunayopenda na tueleze what we could have done diferently.

Karibuni great thinkers
 
Hizi resource eg madini tungeenda pasu kwa pasu na wawekezaji.
Halafu watoto mbona wanasoma muda mrefu sijui tunafata mitaala ya wapi. Zaidi ya miaka 15 watu wanasoma tu. Ningerekebisha hiyo kitu.
Kusingekuwa na vyeo visivyo na ulazima hasa ngazi ya serikali.
Ningeipanga upya dsm. Naona imekaa vibaya vibaya.
 
Hizi resource eg madini tungeenda pasu kwa pasu na wawekezaji.
Halafu watoto mbona wanasoma muda mrefu sijui tunafata mitaala ya wapi. Zaidi ya miaka 15 watu wanasoma tu. Ningerekebisha hiyo kitu.
Kusingekuwa na vyeo visivyo na ulazima hasa ngazi ya serikali.
Ningeipanga upya dsm. Naona imekaa vibaya vibaya.


Ok nimependa hii but hii madini pasu pasu umeongea kisiasa. Ho pasu pasu? Sababu hata Botswana nchi amabayo wanchi wake wanafaidiaka na mapato ya madini sio pasu pasu but lakini kuna kitu kinafanyika.

Hii ya elimu kweli nakubali. Serikali ifanye kitu. Hii nimeipenda kabisa.

Japo nime kuchallenge kidogo nimepnda mawazo yako . Ngoja tuone wengine kama ni sisi watu wa kusubiri ku react tu au we can proact and provide some sound ideas.
 
Ndugu mtazamaji,
Energy,energy,energy!...tatizo kubwa duniani ni nishati.Kama huna nishati,nchi inakuwa very hard to develop.
Ukinichagua mimi mluguru kuwa rais wako,nitashughulikia swala la nishati kama ifuatavyo:
1.Nitalipa kipaumbele suala la kusambaza umeme nchi nzima katika kipindi cha miaka nane,sio ishirini na mbili.
2.Nitaandaa mkakati wa kuhamasisha na ikibidi nitatumia nguvu kuhakikisha utegemezi wetu wa mafuta kutoka nje unapungua kwa asilimia 40 katika kipindi cha miaka mitano.
3.Nitahamasisha uwekezaji katika sekta ya nishati inayojirudia kama upepo,jua,takataka,bahari nk.
4.Nitaomba bunge kwa hisani yao wapitishe sheria ya adhabu ya kifo kwa mla na mtoaji rushwa.
 
Ndugu mtazamaji,
Energy,energy,energy!...tatizo kubwa duniani ni nishati.Kama huna nishati,nchi inakuwa very hard to develop.
Ukinichagua mimi mluguru kuwa rais wako,nitashughulikia swala la nishati kama ifuatavyo:......

4.Nitaomba bunge kwa hisani yao wapitishe sheria ya adhabu ya kifo kwa mla na mtoaji rushwa.

Hii ya adhabu ya kifo nakubalina na wewe kabisa hivi kwa nini waliondaa adhabu hii kwa kuiga iga tu? But kwa ku kuchallnge zile sabbau nyinngine ulizotataja ndio wanasiasa wetu wanatumbia kila siku. May be kivipi yako itakuwa tofauti.

Hii adhabu ya kifo kama nikiwa kwenye postion nitapend akuona inarudi ingaw imani yangu ya dini haikubalini nayo but kwa manufaa ya taifa Napenda kuona adhabu hii inarudi kwa makosa fulani fulani.

Safi sana
 
Hii ya adhabu ya kifo nakubalina na wewe kabisa hivi kwa nini waliondaa adhabu hii kwa kuiga iga tu? But kwa ku kuchallnge zile sabbau nyinngine ulizotataja ndio wanasiasa wetu wanatumbia kila siku. May be kivipi yako itakuwa tofauti.

Hii adhabu ya kifo kama nikiwa kwenye postion nitapend akuona inarudi ingaw imani yangu ya dini haikubalini nayo but kwa manufaa ya taifa Napenda kuona adhabu hii inarudi kwa makosa fulani fulani.

Safi sana
Yangu itakuwa tofauti,wanasiasa wetu huwa hawaelezi watafanyaje,mie nitaeleza kwa kina nitawezaje kusambaza umeme katika kipindi cha miaka nane ijayo.Lakini nimefundishwa king'eng'e kwa hiyo mkitaka nimwage terial niruhusuni niongee yai!
 
Yangu itakuwa tofauti,wanasiasa wetu huwa hawaelezi watafanyaje,mie nitaeleza kwa kina nitawezaje kusambaza umeme katika kipindi cha miaka nane ijayo.Lakini nimefundishwa king'eng'e kwa hiyo mkitaka nimwage terial niruhusuni niongee yai!

Kobbello mwaga tu hakuna shida
 
Yangu itakuwa tofauti,wanasiasa wetu huwa hawaelezi watafanyaje,mie nitaeleza kwa kina nitawezaje kusambaza umeme katika kipindi cha miaka nane ijayo.Lakini nimefundishwa king'eng'e kwa hiyo mkitaka nimwage terial niruhusuni niongee yai!


kobello mwaga hicho king'nge tusikie .

Great thinkers wa JF please mwageni the solutions.
 
Ndugu mtazamaji,
Energy,energy,energy!...tatizo kubwa duniani ni nishati.Kama huna nishati,nchi inakuwa very hard to develop.
Ukinichagua mimi mluguru kuwa rais wako,nitashughulikia swala la nishati kama ifuatavyo:
1.Nitalipa kipaumbele suala la kusambaza umeme nchi nzima katika kipindi cha miaka nane,sio ishirini na mbili.
2.Nitaandaa mkakati wa kuhamasisha na ikibidi nitatumia nguvu kuhakikisha utegemezi wetu wa mafuta kutoka nje unapungua kwa asilimia 40 katika kipindi cha miaka mitano.
3.Nitahamasisha uwekezaji katika sekta ya nishati inayojirudia kama upepo,jua,takataka,bahari nk.
4.Nitaomba bunge kwa hisani yao wapitishe sheria ya adhabu ya kifo kwa mla na mtoaji rushwa.

Nimeipenda sana mikakati ya muda mfupi maana hii mikakati kama ya mkukuta sijui miaka 25! hao waliokuwa madarakani wakati mikakati hiyo inapangwa hawatakuwepo madarakani ni usanii mtupu! na ndiyo maana mikakati hiyo yote haifanikiwi kwa asilimia kubwa sana.

Mikakati ya muda mfupi mfupi hata ufuatiliaji wake ni rahisi mno ili kuhakikisha inakuwa na mafanikio makubwa sana ukilinganisha na ile ya muda mrefu.
 
Nitabana matumizi kwa kuondoa/kupunguza posho zisizo na maana, kupunguza posho na mishahara ya wabunge na mawaziri, mambo ya ten percent katika manunuzi ya serikali na matumizi mengine yasiyo na maana. Kile kitakachopatikana kitatumika kuboresha miundombinu ya elimu, afya, barabara n.k na kipaumbele zaidi kitakuwa vijijini. Pia kuweka sheria kali za kuwabana mafisadi.
 
Nngefanya kwa ajili ya watu ,na kwa faida ya wengi,
Ningeenda clinic ya masikio kila wiki, kupimwa macho kila miezi mitatu, kupimwa akili kila mwaka.
 
Back
Top Bottom