beibe nasty
JF-Expert Member
- Apr 11, 2012
- 1,640
- 523
wana jf wenzangu hebu tuelezane hapa ukweli na unachofikiri. 12 years tangu huyo baba aondoke nyumban kwake alisema anaenda tafuta maisha nchi za watu huko[south africa] na alimuachia mke watoto watatu msichana mmoja ambae ndo wakwanza na wavulana wawil. kipnd hicho msichana alikua ndo kwanza yupo std 6 na hawa wengne walikuwa wadogo bado. Mawasiliano yalikuwepo mpaka kipind bint anamaliza la saba na mama mtu alikua anajitahid aweze kumpeleka bintiye shule na alifanikiwa kwan bint alikua anampa moyo saana mamaye kwa kufaulu vizuri sekondari alisoma kwa vibali mpaka kamaliza form four. Hapo mawasiliano na mzee yalikata kipind bint yupo form one. Kila wakipiga ule namba ya mzee inaita bila kupokelewa basi bint aliendelea kusoma 5n 6 upto chuo na suala hili lamuumiza kichwa saaana hajui afanye nin amtafutaje babaake na isitoshe hakua baba mwenye tabia mbovu aliipenda familia yake saana na mkewe but mpaka sasa hawajui kama mzima au laah kuna wakati inamuuma saana pind amwonapo mamaake analia kuhusu hilo jambo na bado pia mama ndo anafanya kila njia kuwezesha familia yake isome, ile, itibiwe na kilakitu. Swali nikwamba msichana huyu anahaki yakumchukia babaye? Au afanye nin?
Note: ts serious matter matan sitaki hapa. Vigezo na masharti vizingatiwe hapa
Note: ts serious matter matan sitaki hapa. Vigezo na masharti vizingatiwe hapa