Ave Ave Maria
JF-Expert Member
- Apr 22, 2011
- 10,707
- 5,664
Sometimes its better kuitwa mbeijing, yeye anamchekea chekea tu?? Khaa! Ameshindwa nini kumuweka chini na kumsomea dukuduku lake? Au anasubiri kuugua vidonda vya tumbo? Watu wengine kwakweli upole wao utawaponza, yaani anamuona kabisa yuko na mwanamke alafu anamsubirishia aje kumuulizia nyumbani?? Na kuwaibukia live live ili wajue kabisa amewaona? Ndo maana mwanamme ana kiburi!