The secretary
JF-Expert Member
- Jan 14, 2012
- 4,149
- 2,536
Asante MziziMkavu hiyo huwa ni juice yangu nimenunua debe kwa buku mbili tu
wadau kuna mwanafunzi form six ana D,E,S na diploma ana 2.8 GPA. anataka akafanye bachelor, kwa qualification za sasa inaonekana hana. je afanye nini Ili aweze kujiunga na bachelor?ina vitamin c nyingi kuliko machungwa
wadau kuna mwanafunzi form six ana D,E,S na diploma ana 2.8 GPA. anataka akafanye bachelor, kwa qualification za sasa inaonekana hana. je afanye nini Ili aweze kujiunga na bachelor?ina vitamin c nyingi kuliko machungwa
wadau kuna mwanafunzi form six ana D,E,S na diploma ana 2.8 GPA. anataka akafanye bachelor, kwa qualification za sasa inaonekana hana. je afanye nini Ili aweze kujiunga na bachelor?ina vitamin c nyingi kuliko machungwa
Mkuu ukichanganya na kitu kingne chochote kinazaliwa nn?ila yakupasa unywe wenyewe usichanganye na kitu chochote. Kwa upande wangu imenisaidia sana kuni shape mwili japo imechukua muda kidogo
nmeifuatilia zaidi...Wadau kuna rafiki yangu kanishauri niwe angalau kwa siku ninywe juisi ya unga wa ubuyu eti ni nzuri kiafya na hakuniambia kwa kina faida yake.
Mwenye kujua tujuzane tafadhali faida ntakayoipata kiafya.
Asanteni.
Sema tu unatibu tatizo la nguvu za kiume uone shughuli yakeHusaidia kuongeza kumbukumbu, huongeza kinga za mwili, hutibu figo, hutibu magonjwa ya moyo, macho kuona vizur, huimarisha fizi na mifupa pia ngozi na misuli.
mzee unataka kuishi kama TarzanWadau kuna rafiki yangu kanishauri niwe angalau kwa siku ninywe juisi ya unga wa ubuyu eti ni nzuri kiafya na hakuniambia kwa kina faida yake.
Mwenye kujua tujuzane tafadhali faida ntakayoipata kiafya.
Asanteni.