Natumaini mwaendelea vizuri na majukumu yenu ya kila siku..
Kuna ndugu yangu amesalitiwa na mpnz wake wake wa kike(girlfriend),ana uhakika 100% kwamba amesalitiwa na huyo gal wake kakubali. Huyo gal wake kamuomba msamaha na akasema kilichotokea ilikua bahati mbaya na anaomba 2nd chance waendelee kwenye malavidavi.Huyo ndugu yangu amemsamehe na anampenda sana lakini inamuwia ngumu sana kuendelea na huyo gal wake mana anaona hataweza kusahau kilichotokea in future na itamsumbua sana. Halafu mbaya zaidi amefahamu akiwa nnje ya nchi ameenda masomoni,so na ishu ya umbali inampa headache
Mnamshaurije huyu ndugu yangu?
Kuna ndugu yangu amesalitiwa na mpnz wake wake wa kike(girlfriend),ana uhakika 100% kwamba amesalitiwa na huyo gal wake kakubali. Huyo gal wake kamuomba msamaha na akasema kilichotokea ilikua bahati mbaya na anaomba 2nd chance waendelee kwenye malavidavi.Huyo ndugu yangu amemsamehe na anampenda sana lakini inamuwia ngumu sana kuendelea na huyo gal wake mana anaona hataweza kusahau kilichotokea in future na itamsumbua sana. Halafu mbaya zaidi amefahamu akiwa nnje ya nchi ameenda masomoni,so na ishu ya umbali inampa headache
Mnamshaurije huyu ndugu yangu?