tz1
JF-Expert Member
- Mar 19, 2011
- 2,121
- 534
Last edited by a moderator:
Kweli alikuwa ni mnene wa kurithi, lakini sasa anakula pension plus marupurupu ya bure ambazo zinatokana na jasho la mtanzania wa kima cha chini.maunene mengine ni ya kurithi sa itakuwaje kwa watu kama hao maana hata zoezi halisaidii chochote.
kweli kuna unene wa kurithi hata afanye nazoezi vipi mwili haupungui, ni kama vile wembamba wa kurithi hata ale vip hanenepi!maunene mengine ni ya kurithi sa itakuwaje kwa watu kama hao maana hata zoezi halisaidii chochote.