Unene huu wa waheshimiwa wetu unasababishwa na nini?

jamani hii inasababishwa na kutofanya mazoezi? kujiachia kwa kutofata mipango mizuri ya mlo? au ni wagonjwa tokea zamani?

nnaomba mnisaidie maana unene wao unatisha wakuu, kwa hali hii wakifa tusije kumzulia chenge kabisa !!!!
'

View attachment 1717

Mbunge wa Kigamboni, Bw. Mwinchoum Msomi akiongozana na Mbunge wa Morogoro Kusini, Bw. Hamza Mwenegoha wakati wakiingia bungeni mjini Dodoma jana. (Picha na Emmanuel Kwitema)

Duu japo nami hali si nzuri lakini hawa wenzetu inabidi wapate nasaha, kweli hii inatisha. By theway, ile perdiem inayo zidi mshahara wa wa mwenzi mzima wa nesi anaye kesha akiokoa maisha ya wagonjwa ambayo huwa wanaipata kwa kusinzia kwenye viti vizuri na kiyoyozi cha nguvu ndo matokeo yake hayo!.
 
Kuna association kubwa kati ya Obesity, memory loss & Dementia. No wonder wabunge wetu huwa wanasahau kutetea issues zenye maslahi ya Taifa. Nyama zetu, pilau zetu na maziwa yetu vinavyovimbisha matumbo yao makubwa vyawafanya wasahau kutetea hoja zinazo-make the simplest sense. For more info - pata shule hapa chini..

[media]http://www.youtube.com/watch?v=2ISS8nFYVgA[/media]
 
Hivi mnafikiri kwa nini hawa jamaa huwa wanadozi sana mle bungeni???????? Imagine mtu anaishi na huo mtumbo for 30 yrs. Tungekuwa na viwanda vya nguo vya kutosha labda tungewahitaji sana hawa ili pamba kule Mza na Shy IPATE BEI YA JUU
 
Hawa jamaa watakuwa na magonjwa haya:

HIGH BLOOD PRESSURE
HIGH COLLESTRAL
DIABETIC TYPE 1&2
BAD ODOR (WANANUKA SANA INABIDI WAOGE KILA BAADA YA MASAA 2 AU 3)
POOR SEXUAL
WANAKOLOMA SANA WAKILALA
HEART disease, type 2 diabetes, gallstones, breathing problems, and certain cancers.

Wake zao wanakazi sana: harufu ya mwili mdomo masaa 8 kitandani
 
unene ni genetics na mazoezi watu wengi ni wanene na kusema unene unahusika na ufisadi ni ubaguzi. webmaster futa hii topic
 
kwa upande mwengine inabidi muangalie kiundani sababu za unene.
tusiwalaumu sana huenda si kama tunavyodhani na kufikiri ni kwa ajili ya pesa na ufisadi ,kutofanya mazoezi nk.
kuna mambo mengi sana ambayo kwa karne hii yanaongeza unene ambao mtu huwezi kuutarajia kwa mfano: madawa ya kurefusha maishaha haya yanawafanya watu wanakuwa naunene wa ajabu, na niwengi watumiao kwa sasa!
 
Dawa yao ndogo ...ukitaka kuwakondesha ... toa kashfa zao ndogo tu ... ila taraatiiiibu maana wasije kufa moja kwa moja kwa presha.

Ila hao mbona wazuri wakutupatia biashara jamani ... tufungueni jimu mmoja pale pale karibu na bunge ... huenda wakaona aibu wakaja kufanya mazoezi kidogo kidogo au kupata ushauri
 
Utambulisho mojawapo wa umaskini wa kipato na akili katika nchi ni watu ku-mind misosi, kupenda kunenepa, kutokuona aibu kuwa na mitumbo huree, n.k. Kwa kiasi cha kutosha sisi bado tupo huko. Kiongozi wa kisiasa ananenepea namna hii na bado anachaguliwa? Mbaya zaidi haoni kama ana shida hapo alipo!!
Mzee angalia comments kama hizi, umesifiwa jana leo umeharibu. Utapata kura kweli ?
 
Imagine majimbo ya hao wanene yana njaa, wanakuja kuomba misaada, ni kuwaambia watu wako wanakufa kwa njaa wakati wewe unavimbiwa kwa ulafi?

Hivi bungeni kuna hata muda wa mazoezi? Afya za wabunge wetu wengi ni mbaya mno.

Ndio maana by-elections haziishi. Wakidondoka, wataanza kusingizia sumu au kurogwa.
 
Dawa yao ndogo ...ukitaka kuwakondesha ... toa kashfa zao ndogo tu ... ila taraatiiiibu maana wasije kufa moja kwa moja kwa presha.

Ila hao mbona wazuri wakutupatia biashara jamani ... tufungueni jimu mmoja pale pale karibu na bunge ... huenda wakaona aibu wakaja kufanya mazoezi kidogo kidogo au kupata ushauri

Nadahani kabla ya kufungua hiyo jimu kutolewe mafunzo kidogo la sivyo hakuna takayehudhuria, sio utamaduni wetu kufanya mazoezi. Mimi nafanya kazi mahali ambapo jimu iliyopo ni state of the art hakuna mchezo, uwanja mkubwa wa kutembea au hata kukimbia, swimming pool na trainers wa kumwaga na kiingilio kwa staff members ni kama bia 2 kwa siku, lakini idadi ya wabongo tunaotumia hivyo vifaa inaabisha ukilinganisha na idadi yetu.

Wengi wetu hawaoni umuhimu wa mazoezi ya mwili na ni wataalamu wakubwa wa under the nose kila kitu kinashuka tu hataki kujua ni chalories kiasi gani ni kina manufaa gani.
 
Wao wanaona ndo kuwa pesa kwani watu wengi wanaamini kuwa unene ni dalili ya mambo mazuri, kama alivyosema mchangiaji mmoja hamna haja ya gym, ni kutafuta kashifa ndogondogo halafu wape miezi sita muone wanavyoogopa.
 
Utambulisho mojawapo wa umaskini wa kipato na akili katika nchi ni watu ku-mind misosi, kupenda kunenepa, kutokuona aibu kuwa na mitumbo huree, n.k. Kwa kiasi cha kutosha sisi bado tupo huko. Kiongozi wa kisiasa ananenepea namna hii na bado anachaguliwa? Mbaya zaidi haoni kama ana shida hapo alipo!!

Mtu kama Kagame Tanzania asingekuwa na nafasi ya kuchaguliwa.
 
Back
Top Bottom