Unene huu wa waheshimiwa wetu unasababishwa na nini?

Habari ndio hiyo 2010 siyo mbali tuangalie watuwa kuchagua siyo hivyo vitumbo vya kwenda kusinzia bungeni.
 
Mmh, kama Taifa letu lingekuwa na unono na afya kama hizi, tusingekuwa nyuma kimaendeleo...ooopss I am sorry, kuwepo kwa Unono namna hii ni ishara kubwa kwa nini tu wavivu na wazembe!

Hawa ndio wabunge wenu, Hamza Mwenegoha na jamaa wa Kigamboni! Hivi wanakula nini huku nchi inalia njaa?

7052.jpg
 
Kaka hujui ubunge ni dili ndio maana wakati wa uchaguzi inakuwa kufa na kupona hata kama kwenda kwa kalumanzila wataenda.
 
Jamaa wana kila hatari ya kiafya na baya zaidi hata maisha ya kihusiano huwa na athari fulani
 
Hivi jamaa si kila saa wamechoka, wanasinzia, wanasikia kizunguzungu na viuongo kuuma huku wakipumua kwa shida? angalia wote wameegemea nyuma migongo imepinda nyuma huku matumbo yakisukumwa mbele! Watavunja uti wa mgongo.

Lakini kwa Tanzania hao ndio wenye "Hafya"!
 
Hii hali husababishwa zaidi na kula hovyo na kutokuuweka mwili active - Mtu anayeenda baa umbali wa mita 200 kutoka nyumbani kwake kwa gari, akili haishughulishi optimum-ly, msosi kila akijisikia hamu, kuridhika to some extent ni sababu haswaa za unene huo....... Ni vichekesho hawa jamaa sijui hata kama wanaperform

Nakubaliana na Nyambala, hizo ni tabia za wengi walioshiba mihela ya ufisadi siyo wabunge tu. Kuna watu wakipata hela wanafikri zinaendana na vitambi. Displine hapa inahitajika labda na seminars kutoka kwa wataalam wa chakula.
Kuhusu ku perform sijaelewa kivipi??(viagra)
Ila nashangaa jengo la bunge modern kama lile hakuna gym ya kisasa Mh Six lazma afanye juu chini gym iwekwe na wabunge walazimishwe kufanya mazoezi.
 
Also dont forget
Mashangingi
Posho za nguvu
Posho za kamati
Safari za nnje zisizo na tija
Milo na hidden priviledge kwa kamati zinapotembelea, the likes of VIP hotel (Japo walitimuliwa kule)
More worse WANPIGA SANA MBONJI mule katika ukumbi wa bunge.
 
Hii Picha Ya Hawa mapacha Inachekesha Na Kusikitisha. They Have S'thing In Common. Either Hawafikirii Kabisa Au Wanakula Sana Ambayo Yote Ni Matatizo Kwa Taifa.
 
hawaumizi akili yoyote ili waweze endesha maisha what do you expect them to look like
 
Zamani nilikuwa naamini kuwa unene=utajiri na wembamba=umasikini. Hivyo mtu yeyote aliyekuwa tajiri niliona anajitahidi kweli kuwa mnene! Sasa tunaweza kuangalia kama unene unauhusiano wowote na utajiri... hivyo ningependekeza viakaunti vyao viangaliwe... LOL
 
jamani hii inasababishwa na kutofanya mazoezi? kujiachia kwa kutofata mipango mizuri ya mlo? au ni wagonjwa tokea zamani?

nnaomba mnisaidie maana unene wao unatisha wakuu, kwa hali hii wakifa tusije kumzulia chenge kabisa !!!!
'

View attachment 1717

Mbunge wa Kigamboni, Bw. Mwinchoum Msomi akiongozana na Mbunge wa Morogoro Kusini, Bw. Hamza Mwenegoha wakati wakiingia bungeni mjini Dodoma jana. (Picha na Emmanuel Kwitema)

Hao wamejaza kwenye matumbo yao kile ambacho wangetumia kuwatibia watoto wachanga... hiyo ni laana wanaipata taratibu....

hiyo ni laana tupu hapo
 
Ndo wawakilishi wetu hao, wanatuwakilisha hadi kwenye kula! So matumbo yao yanasaizi ya matumbo yoote ya wapiga kura kwenye majimbo yao!

Hao cha mtoto, mnamfhamu Job Sindai (au msindai)? Hana saizi ya suruali.
 
Utambulisho mojawapo wa umaskini wa kipato na akili katika nchi ni watu ku-mind misosi, kupenda kunenepa, kutokuona aibu kuwa na mitumbo huree, n.k. Kwa kiasi cha kutosha sisi bado tupo huko. Kiongozi wa kisiasa ananenepea namna hii na bado anachaguliwa? Mbaya zaidi haoni kama ana shida hapo alipo!!
 
Mama haaaahaaahaaaaaa umenipa raha sana...kuwa huwenda wana watoto humo ndani???Hujatulia kabisa.

Waheshimiwa hawa na uzembe wa kutojali afya zao wanadhani ukiwa mbunge kufanya mazoezi ni dhambi ukizingatia akibahatisha ubunge ana uhakika 5 years mfereji unaingiza seating allowance, plus mikato ya ufisadi.. kazi ndio hiyo kusinzia mjengoni wakitoka wanajazana chako ni chako bar, VETA, maeneo mengine kwenda kujidunga mabia na mbuzi za kuchoma unategema watatetea ufisadi kweli??? Wanataka kulinda matumbo yao...wakipigwa chini miezi miwili tu yanaisha yote hayo...
 
Kama akili haifanyi kazi kwa kiwango kizuri..always haufikii majibu yenye mantiki na Utatuzi wenye tija. Matokeo yake unaishia kwenye wasiwasi, mashaka na all kind of stress...and how do you resolve the stress due to dull mind? au fikra duni?

Unaingia kwenye one of the close adictions..sigareti.., kinywaji...but the most close reinfocemnet ni MOSOSI.

Wabunge wanaficha Uduni wao wa kuona na kufikiri ili kuwapatia wananchi utatuzi wa matatizo yao kwa ... Kujipooza kupitia misoso vinywaji na I can guess, Music, dogodogo and wine!! Hii ni patern ya kawaida sana wala haina cha kuhoji wala kuuuliza...!

Unakwama mentaly na Unatatua kwa feelings and emotions toward HAMU kubwa zinazozimwa kupitia digestive system, reproductive sysytem the rest you can name.
 
Back
Top Bottom