Bitoz
JF-Expert Member
- Aug 27, 2015
- 30,823
- 126,538
- Thread starter
- #101
Panda daradara mpaka kivukoni, ukifika panda mv dar es salaam mpaka bagamoyo, kisha panda daradara mpaka makumbusho , ulizia gari za kwenda tegeta ukizipata panda mpaka kibaoni. Kata tiketi ya gari LA mwendokasi mpaka kariakoo ukisha fika kariakoo panda daradara za kwenda simu 2000 au ubungo, ukifika ubungo panda Abood mpaka morogoro. Kisha anza kuulizia mbagala ni wapi maana hata mie sijawahi kufika huko mbagala