Jimena
JF-Expert Member
- Jun 10, 2015
- 25,835
- 95,753
Kwani kuna mwenye jina lake pale??Tuwaachie kibanda chao bhana japo ki1 .....wasoje fanya figisufigisu bure
Kwani kuna mwenye jina lake pale??Tuwaachie kibanda chao bhana japo ki1 .....wasoje fanya figisufigisu bure
Hata pale ukikomaa mambo yanakuwa sawa tu, cha msingi ni kukomaa tuKuna watu wanamiliki vibanda /majukwaa hata hapa Chit chat nilipigwa sana mikwara nilipodondosha thread ya 1 ....lakini sasa nishawatuliza
Hivi juice ya ukwaju muda huu inapatikana wapi??? Najisikia kuwapa raia wanyweWw paka usilete uchuro
Acha nikanunue...Inapatikana Manzese darajani pale
Tsh
.......................
Hebu rudia kusoma ulichoandika... Kuna mahali naona kama bata kafanya Yake.Hawa form for (4) wanashida sana...
"kidhungu" ni kichaga cha ulaya.Hata mimi sijui 'kidhungu' ndo nini!
Panda daradara mpaka kivukoni, ukifika panda mv dar es salaam mpaka bagamoyo, kisha panda daradara mpaka makumbusho , ulizia gari za kwenda tegeta ukizipata panda mpaka kibaoni. Kata tiketi ya gari LA mwendokasi mpaka kariakoo ukisha fika kariakoo panda daradara za kwenda simu 2000 au ubungo, ukifika ubungo panda Abood mpaka morogoro. Kisha anza kuulizia mbagala ni wapi maana hata mie sijawahi kufika huko mbagalaHivi nikitaka kwenda mbagala kutokea masaki napita njia gani vile ????!!
Shikamoo baba.Bado unanuka shombo ya maziwa ya mama