Nadhani hapa kila mtu anayo kumbukumbu ya timu zilizokuwako mtaani kwake enzi hizo akiwa bado kinda,wengine kwa kuzisikia
wengine kwa kuziona live.Mimi kwetu kijiji zilikuwako za vijiji tu lakini nilikua nakuja dar kwa shejmeji yangu baada ya kumuoa
dadangu hivyo nikawa napata bahati ya kuzishuhudia baadhi ya timu za mitaani hapa dar,hizi ni ninazozifahamu mimi...
1:BOOM na ASHANTI zote za ilala,mtananga wake hatumwi mtoto sokoni
2:KIBOKO MSHELI hii nadhani ilikua ya sehemu za manzese kama sikosei,jamaa walikua wandava ile mbaya
3AR FIRE hii ilikua sana sana ya watoto wa Kariakoo huku chini nyamwezi,flat za fire hapa na mitaa hii ya jangwani
4:KUMKOMA NYANI GILADI hii sikumbuki sawasawa ilikua ya wapi lakini pia walikua wandava hawa
5:Manyema Rangers,hii ipo mpaka leo nadhani ilikua premier league wakati fulani
Mdau unaweza kuongezea unazozikumbuka na vituko vya mechi baina ya timu hasimu kama Ashanti na Boom n.k. za mikoni ruksa pia tupeni matukio ya mechi za ndondo,mbeya kulikua na moja ya watoto wa mjini ikiitwa TOWN STARZ na RED ANGES a.k.a VASTA,SMALL STAR ya pale Mafiat n.k...
wengine kwa kuziona live.Mimi kwetu kijiji zilikuwako za vijiji tu lakini nilikua nakuja dar kwa shejmeji yangu baada ya kumuoa
dadangu hivyo nikawa napata bahati ya kuzishuhudia baadhi ya timu za mitaani hapa dar,hizi ni ninazozifahamu mimi...
1:BOOM na ASHANTI zote za ilala,mtananga wake hatumwi mtoto sokoni
2:KIBOKO MSHELI hii nadhani ilikua ya sehemu za manzese kama sikosei,jamaa walikua wandava ile mbaya
3AR FIRE hii ilikua sana sana ya watoto wa Kariakoo huku chini nyamwezi,flat za fire hapa na mitaa hii ya jangwani
4:KUMKOMA NYANI GILADI hii sikumbuki sawasawa ilikua ya wapi lakini pia walikua wandava hawa
5:Manyema Rangers,hii ipo mpaka leo nadhani ilikua premier league wakati fulani
Mdau unaweza kuongezea unazozikumbuka na vituko vya mechi baina ya timu hasimu kama Ashanti na Boom n.k. za mikoni ruksa pia tupeni matukio ya mechi za ndondo,mbeya kulikua na moja ya watoto wa mjini ikiitwa TOWN STARZ na RED ANGES a.k.a VASTA,SMALL STAR ya pale Mafiat n.k...