itv ndio imeanza mwaka 94, tunaimba class wanawake kuweni wenye furaha, na raha, wakai wote, popote na jessy!
jessy, pedi mpya za kike za jessy, ni nyororo raha kuvaa na kupa kinga thabiti.
wakati wote, popote, na hazina mikanda!
khaaaaaaaaaaaaa! mwalmu akitusikia ni kupiga magoti juani lol! we used kuenjoy!
wakati huo we were so innocent, angels na bikra zetu! khaaaaaaaaa!hahahaaaaaaa, madame una vituko kweli! cpati picha enzi hizoooooooooo
Mchaka
Mchaka chinja
Ali nselema alijax2!
mmmwaahhhhh!
beibe nasty, Madame B, Erickb52, Raiamwematz Kaizer, Acha Uvivu jaman utoto wa enzi zetu ulikuwa raha kweli mpk nautaman cku moja wanirudishie haja kwa mwez 1 nichezee michezo yooote,niimbe nyimbo za kitoto zoote! watoto wa cku hz hata hawafaidi lolest. . .
Shemeji yangu beibe nasty umetutukana ?Kushney nakwambia wanajifanya wakishua hakuna kituu pumbafu saana atii
Iiiiiiiiisssshhh shem ulimi hauna mfupa naomba kuondoa neno hilo uuuwiiii sooory shemlakeShemeji yangu beibe nasty umetutukana ?
hahahaa. . . kuna cku nlisikia watoto wakiimba hv
dereva kondakta sista katikatix2 nkawauliza mana yake wakagoma kunambia.hv manake nini wana cc?