Basically CCM ilikuwa na sera nzuri na ilikuwa na watu makini ndo maana ikawa inapendwa lakini kumbe mwalimu kama binadamu hakuweza kuwajua watu aliokuwa anawalea na kuwafunza ili watakeover alifikiri somo limetosha na hivi wangeendeleza hizo sera nzuri lakni kumbe haikuwa hivyo hivi jiulize kama yanayozungumzwa juu ya Mkapa ni kweli pana ccm tena,ebu muone Kingunge mtu aliyejitia mjamaa mpaka dini akaasi kumbe si chochote si lolote wote walikuwa wanajipendekeza kwa Mwalimu JKNyerere sasa baada ya mzee kufariki karibu wote wamevua ngozi za mwanakondoo wamekuwa chui (their true colours) kwa maana hiyo CCM in books kwa maana ya sera katika maandiko bado ni nzuri maana waasisi wake walikuwa na nia ya kweli na walikuwa wazelendo wa kweli lakini waliowarithi 90% ni manyang'au na kwa hivi yalioyo kwenye sera ya ccm hayatekelezwi tena kumbumka kauli ya mkapa akiwa M/kiti aliwahi kusema kuwa sera za ccm azitekelezeki!! na kwa hivi kuna kila sababu ya kuwaelimisha umma wa watanzania ambao bado wanafikiri mwelekeo wa ccm ni ule ule wa mwanzo watu wakijua kuwa waliokabidhiwa mikoba wamebadili mambo lakini kimya kimya ccm itadondoka tu!! au basi watabadili watu waliopo sasa hivi ili ccm na nchi kwa ujumla wake wapate watu wapya.