Kiranja Mkuu
JF-Expert Member
- Feb 18, 2010
- 4,066
- 4,085
Kwetu Mbeya kulikuwa na daladala (Mzunguko) mmoja unaitwa Mafegi, huo ulikuwa ni noma. Rangi nzuri, mziki mnene, kitu kipyaaaaa, haukudumu, ulichomwa moto na washindani wake.
Kulikuwa na Mwailubi, Mgangaluma, Green Belt la kina Bisso Ntepa, Black Belt, Linolino la kina Makorija, Usafiri Milimani la kina Mwaigomole, Slow but sure la kina Billey Massawe. Hili lilikuwa ni bedford, likisukumwa Mlima wa Ghana linaenda kuwakia mteremko wa Mbeya Hotel.
Hebu na wewe tujulishe ya kwenu
Kulikuwa na Mwailubi, Mgangaluma, Green Belt la kina Bisso Ntepa, Black Belt, Linolino la kina Makorija, Usafiri Milimani la kina Mwaigomole, Slow but sure la kina Billey Massawe. Hili lilikuwa ni bedford, likisukumwa Mlima wa Ghana linaenda kuwakia mteremko wa Mbeya Hotel.
Hebu na wewe tujulishe ya kwenu