Unayakumbuka mabasi na daladala za kwenu siku za nyuma?

Kiranja Mkuu

JF-Expert Member
Feb 18, 2010
4,066
4,085
Kwetu Mbeya kulikuwa na daladala (Mzunguko) mmoja unaitwa Mafegi, huo ulikuwa ni noma. Rangi nzuri, mziki mnene, kitu kipyaaaaa, haukudumu, ulichomwa moto na washindani wake.
Kulikuwa na Mwailubi, Mgangaluma, Green Belt la kina Bisso Ntepa, Black Belt, Linolino la kina Makorija, Usafiri Milimani la kina Mwaigomole, Slow but sure la kina Billey Massawe. Hili lilikuwa ni bedford, likisukumwa Mlima wa Ghana linaenda kuwakia mteremko wa Mbeya Hotel.
Hebu na wewe tujulishe ya kwenu
 
Kwa njia ndefu kulikuwa na
Nyota likipiga safari za Mbeya Dar,
Okoa, Mbeya Dar,
Tunyande- Mbeya,Lusaka Dar,
Movement Star- Mbeya Dar, dereva alikuwa Henry Mwantobe.
Amina (Aluta Continua)- Dar Mbeya
Safina- Dar Mbeya
Matema Beach- Dar Mbeya
Tawaqal Dar Mbeya, kuna moja lilikuwa linaendeshwa na Giriki, jamaa alikuwa noma sana.
 
Pia kulikuwa na Tahfif, wali moto mchuzi moto, hii ilikuwa inapiga Mbeya Mombasa.
Zainabs na Scandnavia zilikuwa ni Dar Mby.
Victoria ilikuwa inaondoka Mby kwenda Iringa kila siku saa saba mchana.
 
Kwacha, Kamata na Relwe yalikuwa lazima yalale njiani kutoka Mby kwenda Dar
 
Pale Bk yalikuwepo Byonabusha,Zafanana,Salima na nduguze,Bujugo trans n.k
 
Pale iringa kulukuwa na daladala inaitwa vitu laini ilikuwa inapiga root ya Mwangata kihesa kilolo, pia kulikuwa na na mabasi ya Kwacha ilula iringa, Mwafrika Njombe iringa na idodi iringa, kulikuwa na basi la tarafa ya kalenga lilikuwa linaitwa UTAKA (usafiri tarafa ya kalenga) nakumbuka mbali sana.
 
Kwetu kulikuwa na baiskeli nyingi zote aina moja SWALA nauli 200 kijiji to kijiji
 
Pale Bk yalikuwepo Byonabusha,Zafanana,Salima na nduguze,Bujugo trans n.k

Nasikia mwenye mabasi ya Zafanana alikuwa na wanawake wengi sana wa aina tofautitofauti akiitafuta k tamu kuliko zote. Mwisho wa siku akagundua kuwa zote Zafanana
 
kule MOSHI yalikua black nyau, blach mamba, sirori hethina horomire, dadadala zilikua hazima majina zenyewe zilikua zinashikiliwa gia na manati usipoweka manati gia inafyetuka.
 
Kwetu Mbeya kulikuwa na daladala (Mzunguko) mmoja unaitwa Mafegi, huo ulikuwa ni noma. Rangi nzuri, mziki mnene, kitu kipyaaaaa, haukudumu, ulichomwa moto na washindani wake.
Kulikuwa na Mwailubi, Mgangaluma, Green Belt la kina Bisso Ntepa, Black Belt, Linolino la kina Makorija, Usafiri Milimani la kina Mwaigomole, Slow but sure la kina Billey Massawe. Hili lilikuwa ni bedford, likisukumwa Mlima wa Ghana linaenda kuwakia mteremko wa Mbeya Hotel.
Hebu na wewe tujulishe ya kwenu

mkuu kuna moja pale mbeya lilikuwa linaitwa kichaa kapewa rungu,mwenye hilo daladala alikuwa anaitwa mfikemo,nililipenda sana enzi hizo
 
Atown kulikuwa na kiford kinaitwa take-uch.moshi arusha coster inaitwa TOP STORY,injili iende mbele,mwaka mpya,wacha waseme na machame safari
 
kwenye red...hili basi lilipata ajali mbaya sana miaka hiyo likauwa wat wengi....lilikuwa gumzo sana, ngoja nivute kumbukumbu ajali ilitokea mto gani na barabara gani
Kwa njia ndefu kulikuwa na
Nyota likipiga safari za Mbeya Dar,
Okoa, Mbeya Dar,
Tunyande- Mbeya,Lusaka Dar,
Movement Star- Mbeya Dar, dereva alikuwa Henry Mwantobe.
Amina (Aluta Continua)- Dar Mbeya
Safina- Dar Mbeya
Matema Beach- Dar Mbeya
Tawaqal Dar Mbeya, kuna moja lilikuwa linaendeshwa na Giriki, jamaa alikuwa noma sana.
 
Sio Leyland DAF na Bedford mkuu...zilikuwa na shepu ya mkate
kule MOSHI yalikua black nyau, blach mamba, sirori hethina horomire, dadadala zilikua hazima majina zenyewe zilikua zinashikiliwa gia na manati usipoweka manati gia inafyetuka.
 

Similar Discussions

Back
Top Bottom