Unawezaje kumchukia ALIYEKUWA mpenzi wako kiasi hiki??!

trachomatis

JF-Expert Member
Jun 7, 2011
3,758
735
Leo ofisini kwangu nimeshuhudia tukio la kushangaza..Katibu muhtasi wangu[P/S] alimkimbia mgeni wake na kwenda kujificha.Mgeni baada ya kuona hapewi ushirikiano aliamua kuaga na kuondoka.
Cha ajabu P/S alirudi huku akilia na kuwalaani wote[anaowajua na asiowajua] waliomwelekeza ''mpenzi'' wake huyo mahali aliko. Alianza kupiga simu nyingi kama kachanganyikiwa,akiomba ushauri kwa ndugu na rafiki zake wanaomfahamu ''mpenzi'' wake huyo wa zamani.Tulipomhoji alifunguka hivi: alikuwa mpenzi wake tangu mwaka 2000.Walipishana umri kiasi cha miaka 10.''Akamfac ilitate'' akasoma kozi ndogo ya uuguzi ya mwaka mmoja. Hakupata kazi zaidi ya kuuza kwenye maduka ya dawa.Ilipofika 2007,bwana yule alihamishwa kikazi.Katika kipindi chote hicho walikuwa wakiishi pamoja.Na bwana alipata kudhamiria kumuoa dada huyo,kigezo kilichomdisqualify kilikuwa ''dini''. Wakati binti alikuwa radhi kubadili,wazazi wake hawakumruhusu. Binti aliamua kuondoka na kurudi kwao kwa sababu ambazo hajaniambia[ nafikiri huduma hazi kuwa hafifu. Aliendelea kuwa na mahusiano mengine,ila alikosa amani yule bwana alipokuwa akirudi kwani yue bwana alijihesabu kuwa ndiye MMILIKI wa mwili wa yule dada.. Kivipi? Hata apotee miezi 9,miezi mi3 inayobaki yulew dada anakuwa ndiyo mke.Imekuwa ikimnyima raha sana hali hiyo.
Kwa hiyo nikamuuliza maswali mawili,je alikuwa mwanaume wako wa kwanza kabisa maishani mwako?,akajibu ndiyo.Nikamwuliza je, ulipokuwa naye kulikuwa na shida ya huduma? Akajibu,hapana. Nikaongezea hapohapo,je mbali na kazi yake[udereva],ana mradi wowote wa nje? Akasema ana gari 2 zenye kufanya biashara ya usafirishaji. Je mtu wa aina hii unapomuuliza kwa nini ana chuki ya kiasi hicho anakwambia ''mi simtaki tu'' inawezekana?
 
Leo ofisini kwangu nimeshuhudia tukio la kushangaza..Katibu muhtasi wangu[P/S] alimkimbia mgeni wake na kwenda kujificha.Mgeni baada ya kuona hapewi ushirikiano aliamua kuaga na kuondoka.
Cha ajabu P/S alirudi huku akilia na kuwalaani wote[anaowajua na asiowajua] waliomwelekeza ''mpenzi'' wake huyo mahali aliko. Alianza kupiga simu nyingi kama kachanganyikiwa,akiomba ushauri kwa ndugu na rafiki zake wanaomfahamu ''mpenzi'' wake huyo wa zamani.Tulipomhoji alifunguka hivi: alikuwa mpenzi wake tangu mwaka 2000.Walipishana umri kiasi cha miaka 10.''Akamfac ilitate'' akasoma kozi ndogo ya uuguzi ya mwaka mmoja. Hakupata kazi zaidi ya kuuza kwenye maduka ya dawa.Ilipofika 2007,bwana yule alihamishwa kikazi.Katika kipindi chote hicho walikuwa wakiishi pamoja.Na bwana alipata kudhamiria kumuoa dada huyo,kigezo kilichomdisqualify kilikuwa ''dini''. Wakati binti alikuwa radhi kubadili,wazazi wake hawakumruhusu. Binti aliamua kuondoka na kurudi kwao kwa sababu ambazo hajaniambia[ nafikiri huduma hazi kuwa hafifu. Aliendelea kuwa na mahusiano mengine,ila alikosa amani yule bwana alipokuwa akirudi kwani yue bwana alijihesabu kuwa ndiye MMILIKI wa mwili wa yule dada.. Kivipi? Hata apotee miezi 9,miezi mi3 inayobaki yulew dada anakuwa ndiyo mke.Imekuwa ikimnyima raha sana hali hiyo.
Kwa hiyo nikamuuliza maswali mawili,je alikuwa mwanaume wako wa kwanza kabisa maishani mwako?,akajibu ndiyo.Nikamwuliza je, ulipokuwa naye kulikuwa na shida ya huduma? Akajibu,hapana. Nikaongezea hapohapo,je mbali na kazi yake[udereva],ana mradi wowote wa nje? Akasema ana gari 2 zenye kufanya biashara ya usafirishaji. Je mtu wa aina hii unapomuuliza kwa nini ana chuki ya kiasi hicho anakwambia ''mi simtaki tu'' inawezekana?

Nahisi huyo dada kuna mambo ameficha hajasema yote!
 
wakati mwengine ni mapepo ya chuki yanawakumba watu.
Unamchukia mtu mpaka shetani mwenyewe ANASHANGAA jinsi ulivo na chuki kali.
 
Leo ofisini kwangu nimeshuhudia tukio la kushangaza..Katibu muhtasi wangu[P/S] alimkimbia mgeni wake na kwenda kujificha.Mgeni baada ya kuona hapewi ushirikiano aliamua kuaga na kuondoka.
Cha ajabu P/S alirudi huku akilia na kuwalaani wote[anaowajua na asiowajua] waliomwelekeza ''mpenzi'' wake huyo mahali aliko. Alianza kupiga simu nyingi kama kachanganyikiwa,akiomba ushauri kwa ndugu na rafiki zake wanaomfahamu ''mpenzi'' wake huyo wa zamani.Tulipomhoji alifunguka hivi: alikuwa mpenzi wake tangu mwaka 2000.Walipishana umri kiasi cha miaka 10.''Akamfac ilitate'' akasoma kozi ndogo ya uuguzi ya mwaka mmoja. Hakupata kazi zaidi ya kuuza kwenye maduka ya dawa.Ilipofika 2007,bwana yule alihamishwa kikazi.Katika kipindi chote hicho walikuwa wakiishi pamoja.Na bwana alipata kudhamiria kumuoa dada huyo,kigezo kilichomdisqualify kilikuwa ''dini''. Wakati binti alikuwa radhi kubadili,wazazi wake hawakumruhusu. Binti aliamua kuondoka na kurudi kwao kwa sababu ambazo hajaniambia[ nafikiri huduma hazi kuwa hafifu. Aliendelea kuwa na mahusiano mengine,ila alikosa amani yule bwana alipokuwa akirudi kwani yue bwana alijihesabu kuwa ndiye MMILIKI wa mwili wa yule dada.. Kivipi? Hata apotee miezi 9,miezi mi3 inayobaki yulew dada anakuwa ndiyo mke.Imekuwa ikimnyima raha sana hali hiyo.
Kwa hiyo nikamuuliza maswali mawili,je alikuwa mwanaume wako wa kwanza kabisa maishani mwako?,akajibu ndiyo.Nikamwuliza je, ulipokuwa naye kulikuwa na shida ya huduma? Akajibu,hapana. Nikaongezea hapohapo,je mbali na kazi yake[udereva],ana mradi wowote wa nje? Akasema ana gari 2 zenye kufanya biashara ya usafirishaji. Je mtu wa aina hii unapomuuliza kwa nini ana chuki ya kiasi hicho anakwambia ''mi simtaki tu'' inawezekana?


'....nuff said, huyo bwana anamfuata mwanadada kujistarehesha na kukidhi hamu yake kimwili tu...mdada ana kila haki ya kumkataa kwani anadhalilishwa, ila tu hana ujasiri bado wa kumtamkia huyo mbaba.
 

'....nuff said, huyo bwana anamfuata mwanadada kujistarehesha na kukidhi hamu yake kimwili tu...mdada ana kila haki ya kumkataa kwani anadhalilishwa, ila tu hana ujasiri bado wa kumtamkia huyo mbaba.

very true. Mtu aondoke mwaka,au miezi 9 arudi akuparamie. Ilhali kila m2 alisepa kivyake loh!
 
huyo dada kesha pata bwana mwingine ndo maana kaamua kufanya hayo madudu
 
Unadhani ukimwi kwenye ndoa unakujaje? Na huko anapokua miezi 9 anakua kwenye mafungo?
Dada wa watu kama amejigundua hayawezi hayo maisha, asimkimbie jamaa. By the way kufunga ndoa haiwezekani na walikubaliana hivyo. Amuache dada wa watu ajitwalie candidate! Kha!
very true. Mtu aondoke mwaka,au miezi 9 arudi akuparamie. Ilhali kila m2 alisepa kivyake loh!
 

'....nuff said, huyo bwana anamfuata mwanadada kujistarehesha na kukidhi hamu yake kimwili tu...mdada ana kila haki ya kumkataa kwani anadhalilishwa, ila tu hana ujasiri bado wa kumtamkia huyo mbaba.

Si amwambie basi kuwa 'hali hii siwezi, kwa heri ya kutoonana'...unakimbia kimbia, kujificha chooni na kulia lia nini sasa?
 
Si amwambie basi kuwa 'hali hii siwezi, kwa heri ya kutoonana'...unakimbia kimbia, kujificha chooni na kulia lia nini sasa?

usikute huyo mwanaume mbabe dada wa watu akimwambia anaangushiwa kipigo, au mdada hajamwambia jamaa kuna kitu anafaidika nacho, labda pesa loh!!!
 
Si amwambie basi kuwa 'hali hii siwezi, kwa heri ya kutoonana'...unakimbia kimbia, kujificha chooni na kulia lia nini sasa?

...Dr Riwa, wanaume wengi hawapendi kukubali ukweli kwamba hatakiwi tena. na huyo anayerudi rudi anakila dalili hizo..
 
very true. Mtu aondoke mwaka,au miezi 9 arudi akuparamie. Ilhali kila m2 alisepa kivyake loh!

Well hapa mnatoa konklusheni akoding to mdada; kuna msilolijua hapa; usikute jamaa anakimbiwa baada ya kuwa ame invest kiasi cha kutosha na anashangaa kwanini uhusiano wao ahuendi next level ya hapo wa lipo na suala la din siku hizi sio issue sana; tunashuhudia ndoa ngapi mchanganyiko ama zile ambazo mtu anahama hata bil ridhaa ya mtu yeyote....................nachelea kusema it seems she used the poor guy!
 
0 Reactions
Reply
Back
Top Bottom