STK ONE
JF-Expert Member
- Dec 31, 2011
- 627
- 184
Kuna kisa kimesimuliwa hivi punde RADIO MARIA kuwa kuna mama mmoja alitoa mimba huku akiwa na mume ndani. Katika kutoa mimbo hiyo hakumshirikisha mumewe. Nimejitahidi kujiuliza maswali mengi sana ni hali gani inaweza kutokea hadi mke akafikia kutoa mimba bila ya kumshirikisha mumewe? Nisaidieni jamani.
Lakini pia nimepata athari za kisaikolojia ambazo mma analiyetoa mimba anaweza kuzipata....
1. kujihisi mkosaji (Feelings of Guilty)
2. kujihisi muuaji (feelings of being a killer)
3. kukosa amani moyoni (loss of peace)
4. kupungua kwa kutoa maamuzi (loss of decision making)
5. Hasira (anger)
6. Kupoteza Umama (womanhood)
7. kukosa ari ya kusamehe (lack of forgivingness)
8. Lack of comfort.
Akina dada na akina mama please, don't try it at home....mind you that "HAKUNA UTOAJI MIMBA SALAMA", Usalama unatoka wapi wakati unaua???? THINK TWICE.
Lakini pia nimepata athari za kisaikolojia ambazo mma analiyetoa mimba anaweza kuzipata....
1. kujihisi mkosaji (Feelings of Guilty)
2. kujihisi muuaji (feelings of being a killer)
3. kukosa amani moyoni (loss of peace)
4. kupungua kwa kutoa maamuzi (loss of decision making)
5. Hasira (anger)
6. Kupoteza Umama (womanhood)
7. kukosa ari ya kusamehe (lack of forgivingness)
8. Lack of comfort.
Akina dada na akina mama please, don't try it at home....mind you that "HAKUNA UTOAJI MIMBA SALAMA", Usalama unatoka wapi wakati unaua???? THINK TWICE.