Ngoja niende TUKI
Ujue hayo maneno ulosema ni topik ya set kwenye hesabu.
Unachotaka kusema ni kipi kati ya hizi?
1. Mvumilivu ni subset ya msahimilivu?
2. Mvumilivu na mstahimilivu ni disjoint sets?
Ngoja niende TUKI
Ujue hayo maneno ulosema ni topik ya set kwenye hesabu.
Unachotaka kusema ni kipi kati ya hizi?
1. Mvumilivu ni subset ya msahimilivu?
2. Mvumilivu na mstahimilivu ni disjoint sets?
He he he
Ungejua ni udaku addict
Ni kweli wanajamvi??
Iwa mwema
Wakatabahu
Adharusi
Goodmorning BAGAH!...hii ni ya kuchakachua hii...watu watume zao salamu!
goodmorning peeps!
hii ni ya kuchakachua hii...watu watume zao salamu!
goodmorning peeps!
Habari yako AdharusiNi kweli wanajamvi??
Iwa mwema
Wakatabahu
Adharusi
Goodmorning BAGAH!...
Ooh real?...hehehe!hi...goodmorning Sweetlady!...leo umeamkia mkono gani...naona kidhungu kinapanda mbaya!
hii ni ya kuchakachua hii...watu watume zao salamu!
goodmorning peeps!
Aisey Bagah ni hivi, mi nasikiaga kuna
1 kuchakachua
2. kuchakachuliwa
3. kuchakachuana
4 . mchakachuo
Hapa mko No ngapi ?
Aisey Bagah ni hivi, mi nasikiaga kuna
1 kuchakachua
2. kuchakachuliwa
3. kuchakachuana
4 . mchakachuo
Hapa mko No ngapi ?