King’asti
Platinum Member
- Nov 26, 2009
- 27,823
- 24,779
Did u have to be so dramatic? utatufanya tuwe tunafikiria mara kadhaa, kha!
Inategemea banaa, ukiwa unampenda na kumuamini mtu hakuna kinyaa. Taulo, underwear, mswaki, kijiko u name it! Ila ukishaanza kuona mashaka, mhh! Haviwezekani.
Inategemea banaa, ukiwa unampenda na kumuamini mtu hakuna kinyaa. Taulo, underwear, mswaki, kijiko u name it! Ila ukishaanza kuona mashaka, mhh! Haviwezekani.
It's all in the head. Tena denda ndiyo baya zaidi maana unalamba bakteria na kuwameza moja kwa moja toka kwenye chanzo lakini kwa vile hilo tendo mara nyingi hufanyika wakati mtu umeshajitoa fahamu kiaina ndiyo maana inaonekana kama ni sawa.
Sasa mwaski unaweza ukauusuza na ukiusuuza na maji ya moto utakuwa umeua bakteria wengi tu. Sasa kwenye denda wangapi huwa wanasuuza midomo yao kwanza kabla hawajaanza kulambana? Kwa hiyo, kisayansi mimi naona bora mswaki kuliko chungwa, ila hapa kinachohusu zaidi ni muktadha.