asakuta same
JF-Expert Member
- Mar 1, 2011
- 14,829
- 5,028
FACE BOOK BWANA..kwa hisani ya cheka upasuke
Mama Ajiunga Facebook Kwa Jina La *beib Loveee*
Baba Ajiunga Kwa Jina La *Pezda wa kitaa*
WOTE WAMEJIUNGA FACEBOOK KWA SIRI NA HAWAKUWEKA PICHA.
Sasa Siku Moja Baba Akaona Request *beib loveee wants to be your friend*
Mzee Akaconfirm fasta na kuzama *INBOX*
Inbox ilikua hv:-
Prezda wakitaa: karibu mrembo....
Beib lovee: thanx mtanashati....
Prezda wakitaa: unaishi wapi?....
Beib lovee: SINZA kwa wajanja(kasema ukweli)
Prezda wakitaa: nice place swt.
Beib lovee: thanx.. Wewe unaishi wapi?
Prezda wakitaa: KINONDONI(kadanganya)
Beib lovee: unakaa kwa mapedejee?
Prezda wakitaa: haaa! haaaa! Kawaida 2 mrembo....vp 2naweza 2kakutana 2kaongea zaidi mrembo?
Beib lovee: wewe 2 me nipo free.......
tabiri sasa kilichotokea walipokutana
Mama Ajiunga Facebook Kwa Jina La *beib Loveee*
Baba Ajiunga Kwa Jina La *Pezda wa kitaa*
WOTE WAMEJIUNGA FACEBOOK KWA SIRI NA HAWAKUWEKA PICHA.
Sasa Siku Moja Baba Akaona Request *beib loveee wants to be your friend*
Mzee Akaconfirm fasta na kuzama *INBOX*
Inbox ilikua hv:-
Prezda wakitaa: karibu mrembo....
Beib lovee: thanx mtanashati....
Prezda wakitaa: unaishi wapi?....
Beib lovee: SINZA kwa wajanja(kasema ukweli)
Prezda wakitaa: nice place swt.
Beib lovee: thanx.. Wewe unaishi wapi?
Prezda wakitaa: KINONDONI(kadanganya)
Beib lovee: unakaa kwa mapedejee?
Prezda wakitaa: haaa! haaaa! Kawaida 2 mrembo....vp 2naweza 2kakutana 2kaongea zaidi mrembo?
Beib lovee: wewe 2 me nipo free.......
tabiri sasa kilichotokea walipokutana