majorbanks
JF-Expert Member
- Feb 3, 2012
- 228
- 66
Swadakta mno kumfanyia mtoto wa kike..!!Kwako swadakta au sio????
Swadakta mno kumfanyia mtoto wa kike..!!Kwako swadakta au sio????
Sasa hiyo ya kunawishana tena baada ya 'Big need' ni mengine tena jamani! Kha!
Mswaki labda, Anyway labda mimi bado mshamba ngoja nikae kimya kwanza.......
Saita Ama?Aidomaa? ndo mapenz mapya!so usitambe wayajua mapenzi weye!
loh kutawazana nya jamani?
Kushara miswaki?
Uwiiiiiiiiiiiiiiiiiiiiiiii mapenzi haya..... Tobaaaaaaaaaaaa
Leo kaja kunisabahi asubuhi hii jamaa yangu mmoja,baada ya salamu ndipo alipotoa mpya,huenda isiwe mpya kwako,kwani inaweza kuwa ni kawaida tu,alitaka shauri,akaniambia yafuatayo,"Bwana Eiyer nimeona nikushirikishe jambo hili maana najua utanishauri,mpenzi wangu ana ka tabia kanakonikera sana,amekua na kawaida kila akija kulala hapa,akienda haja kubwa huniambia eti nimtawaze maana hayo ni mapenzi na anajisikia furaha nikifanya hivyo,nimekuwa nikifanya kama anavyotaka lakini naelekea kushindwa,halafu pia ana tabia ya kutumia mswaki wangu kila anapolala hapa,nimemnunulia wake hautumii eti anaonesha upendo,jambo hili silipendi sana,sijui unanishauri nini"?Dah!Nilimuuliza kuhusu anavyojua maana ya upendo,na baadae nilimshauri na akaenda.Dah!Nilichogundua mapenzi yana changamoto zake na kamwe usije kudhani unayajua.Pia kama unadhani huu ni mzaha umekosea sana,ni bora ukafikiri upya.Lililogumu kwako ni jepesi kwa mwenzo,kuna jamaa aliwahi kuniomba ushauri kuhusu tabia yake ya kupenda kulamba mlango taka wa mpenzi wake kila wakutanapo kimwili kama kuna ubaya,uchafu ni msamiati wenye tafsiri inayokinzana miongoni mwetu,Sasa hebu fikiri utafanya nini ukikutana na mpenzi wa aina hii?
mmmh.....hapana.....akiwa icu sawa....mzima...a a....