Hakuna tatizo,kwani mbona najitawadha bana,hakuna tofauti kati ya mzigo wangu na wako.(hii ni kweli hata kama ikitokea kweli)
Leo kaja kunisabahi asubuhi hii jamaa yangu mmoja,baada ya salamu ndipo alipotoa mpya,huenda isiwe mpya kwako,kwani inaweza kuwa ni kawaida tu,alitaka shauri,akaniambia yafuatayo,"Bwana Eiyer nimeona nikushirikishe jambo hili maana najua utanishauri,mpenzi wangu ana ka tabia kanakonikera sana,amekua na kawaida kila akija kulala hapa,akienda haja kubwa huniambia eti nimtawaze maana hayo ni mapenzi na anajisikia furaha nikifanya hivyo,nimekuwa nikifanya kama anavyotaka lakini naelekea kushindwa,halafu pia ana tabia ya kutumia mswaki wangu kila anapolala hapa,nimemnunulia wake hautumii eti anaonesha upendo,jambo hili silipendi sana,sijui unanishauri nini"?Dah!Nilimuuliza kuhusu anavyojua maana ya upendo,na baadae nilimshauri na akaenda.Dah!Nilichogundua mapenzi yana changamoto zake na kamwe usije kudhani unayajua.Pia kama unadhani huu ni mzaha umekosea sana,ni bora ukafikiri upya.Lililogumu kwako ni jepesi kwa mwenzo,kuna jamaa aliwahi kuniomba ushauri kuhusu tabia yake ya kupenda kulamba mlango taka wa mpenzi wake kila wakutanapo kimwili kama kuna ubaya,uchafu ni msamiati wenye tafsiri inayokinzana miongoni mwetu,Sasa hebu fikiri utafanya nini ukikutana na mpenzi wa aina hii?
Nimeshabook maungamo kwenye Uzi wa pettycash, maana Asprin alisema atamdipu Simon Petro kunisemea!
Hubby amekuja na kitu mpya ya kuchambana. LOL
nasikia ww inalampa hadi kijambio rafiki ni kweli hii maneno anasungumsaMbona yako unashika bana??
Tunajadili namna ya kuboresha ndoa yetu,majilio has nothing to do with this!
Bwana sijakuita hapa unidhalilishie hubby wangu eeh, tutagombana ohohh! Ukubwa wake naujua mwenyeewe!
Ila nimecheka sana, na kila nikimuimagine huyo jamaa aliyeenda kuomba ushauri mbavu sina! LOL
Hahaha! Ndege wa aina moja huruka pamoja. Ushawahi ona njiwa kwenye kundi la kunguru? Kama alivosema Kaizer hapo juu, kama hubby ndo huyo kazi unayo. Next time atafuatwa kuombwa ushauri na rafikiye anayelazimishwa kuchamba mtetea kwa ulimi kabla ya kungonoka.