fidelis zul zorander
JF-Expert Member
- Mar 6, 2012
- 685
- 175
wadau na swali kwa ambao mko uko vyuoni kama umechaguliwa course fulani na ukaamuakubadilisha inawezekana kweli...?assume qualification za kubadili hiyo course unavyo!..msaada jamani
unaweza kubadili course wakati wa kufanya registration.
kuna course kama pharmacy ambazo watu wako limited je wanaweza kukuruhusu ukahamia huko...?
wanaweza kukubalia kuhamia pharmarcy iwapo form six utakuwa umesoma mchepuo wa sayansi.