Sajenti
JF-Expert Member
- Apr 24, 2008
- 3,651
- 412
Kwa wale wapenzi wa muziki kulikuwa na bandi iliyoitwa tatu nane. Bendi hii nilivutiwa na style yao ya muziki pale walipotumia vifaa vya kisasa kupiga nyimbo zenye mahadhi ya kiasili...Ni muda mrefu sijasikia habari zao. Mwenye kufahamu naomba anijuze tafadhari.