Unawafahamu warangi?

Jamani wapi tena huku...tukimaliza Warangi,tutakuja watumbatu,wasandawe,wadigo,wanyiramba...tutaenda umalila,mwaishoni tutatukanana...hala hala jama...maneno hayo!
 
Wanatoka wilaya ya KONDOA ambayo ina siri moja kuhusu jina la wilaya yao, kila ukiondoa herufi ya kwanza ya jina la wilaya hiyo unapata neno la kiswahili. Angalia mfano hapa chini:


KONDOA
ONDOA
NDOA
DOA
OA
A
!!!!!!!!!!
Duh....! Kweli wewe mchambuzi.....!

KONDOA sio mchezo! Uki -ONDOA tabia yao ya kufanya tendo la NDOA kwa kugusa tuu, maisha yao wameyatia DOA japo waoaji bado wana wa OA sana na kuwapa maksi za A kwa rangi na uzuri wa sura.
Umenyumbulisha vizuri sana..... Nami nilipata kuwaonja warangi wa Kondoa.....! Kwa kweli ni balaa......! Mara nyingi unaishia kutotaka kumuoa, lakini kumuacha inakuwa ngumu kutokana na hali halisi......! nadhani wajua....!
 
Duh....! Kweli wewe mchambuzi.....!


Umenyumbulisha vizuri sana..... Nami nilipata kuwaonja warangi wa Kondoa.....! Kwa kweli ni balaa......! Mara nyingi unaishia kutotaka kumuoa, lakini kumuacha inakuwa ngumu kutokana na hali halisi......! nadhani wajua....!

KAribu Tanga mzee hiyo yote uliyokutana nayo huko ni part gazeti................................
 
-wachagga wezi
-wanyakusa wakabila sana

hizi hadithi za babu na bibi tuziache,tabia ni hulka za individual people na haitusaidii humu
mnaawajengea watu picha mbaya tu..sijui iweje
unless una proof ya hilo unalosema
kama ni hivyo wakwere nao utasemaje?
 
Vipi kuhusu wahaya, wamakonde, wagita, wakinga, wahehe na wengine tusiowataja. Tabia hutegemea malezi bana. Nilikuwa Bukoba juzi nikaambiwa ukitongoza binti akakukataa nenda kaogee JIK lazima una mkosi, ile kuita tuuuuuuuuuuuuu swali nije saa ngapi?
takwimu za makabila zinasemaje au ni kutokutembea na kujionea wengine wanaishije. Nimepita mikoa yote ya bara na nimebahatika kugonga kila mwenyeji tena kiulainiiiiiiiiiiiiiii ili nijenge mtandao. Hapo je?
 
Vipi kuhusu wahaya, wamakonde, wagita, wakinga, wahehe na wengine tusiowataja. Tabia hutegemea malezi bana. Nilikuwa Bukoba juzi nikaambiwa ukitongoza binti akakukataa nenda kaogee JIK lazima una mkosi, ile kuita tuuuuuuuuuuuuu swali nije saa ngapi?
takwimu za makabila zinasemaje au ni kutokutembea na kujionea wengine wanaishije. Nimepita mikoa yote ya bara na nimebahatika kugonga kila mwenyeji tena kiulainiiiiiiiiiiiiiii ili nijenge mtandao. Hapo je?

Kimolo! Unanikumbusha jina la Mzee Kimolo, alikuwa mganga kipindi cha nyuma maeneo ya Kwamtoro Kondoa. Wewe ni wa wapi? Kilema. Kolo, Haubi?
 
mhhh...hii mada inanihusu mno maana niewananihii warangi wengi mno...actally ni warembo mademu wahuko...
 
Wanatoka wilaya ya KONDOA ambayo ina siri moja kuhusu jina la wilaya yao, kila ukiondoa herufi ya kwanza ya jina la wilaya hiyo unapata neno la kiswahili. Angalia mfano hapa chini:


KONDOA
ONDOA
NDOA
DOA
OA
A
!!!!!!!!!!

Craetive!
 
-wachagga wezi
-wanyakusa wakabila sana

tukiongea makabila sifa tunazoweza kugeneralize ni kama

maumbile,rangi,kimo,lafudhi,dini,tamaduni,mila,vyakula,pombe za asili,shughuli yao kuu ya jamii kama uvuvi,kilimo,ufugaji,uwindaji,biashara nk.

ukiziainisha hizo utakuwa umewatendea haki lakini kwa hayo uliyoyataja hapo juu mbona magerezani kuna makabila yote? ni hulka binafsi tu na nyingi hutokana na makuzi ama jamii uliyokutana nayo wewe
 
Hivi wana JF hatuwezi hata siku moja kuheshimiana na kuacha kukandya makabila ya wenzetu? Naona kama hii tabia ndiyo inayofanya wageni kuja na kutudharau na kuchukua rasilimali zote hapa nchini

I have observed a trend that we either degrade/belittle each kijinsia au kikabila... na kibaya zaidi kidini.

Na hili nalo tutalalamikia CCM? au ni laana fulani? Hakuna kabila tanzania lisilo na watu warembo, waaminifu, wenye roho nzuri, maumbile bora, akili za maisha na darasani nk. pia the opposite

Tunyanyuane na sio kushushana jamani
 
siku hivi mtoto anamwezi anabembelezwa na mziki wa kwenye tv, mtoto anakulia sebuleni akiiona tv, akifikisha umri flani anakaa au anatambaa anayatambua mtangazo yote ya kwenye tv, tigo express yoself mtoto hata km alikuwa anakula ataacha kwanza aangalie luninga sasa wanakua na tabia zote za kwenye tv tamthilia mtoto wangu ana five yrs yupo std one na hizi english medium school anakusimulia tamthilia yote eti baba leo maria chu sijui kafanya hivi sasa generation hii ya leo ni tofauti sana na ile ya ukabila. hawa hawana tofauti kabsaa coz akina mama wa sasa hasa mijini wanawalea watoto wao ki tv/kimagharibi zaidi kuliko kikabila kutana na totoz za sasa uliza ni mwenyeji wa wapi akikutajia uliza km anajua kikwao. so kabila sasa hivi halimati kabsaa humu mijini wote ni wamarekani tuuuu hahaaaaa
 
Vipi kuhusu wahaya, wamakonde, wagita, wakinga, wahehe na wengine tusiowataja. Tabia hutegemea malezi bana. Nilikuwa Bukoba juzi nikaambiwa ukitongoza binti akakukataa nenda kaogee JIK lazima una mkosi, ile kuita tuuuuuuuuuuuuu swali nije saa ngapi?
takwimu za makabila zinasemaje au ni kutokutembea na kujionea wengine wanaishije. Nimepita mikoa yote ya bara na nimebahatika kugonga kila mwenyeji tena kiulainiiiiiiiiiiiiiii ili nijenge mtandao. Hapo je?
aka majala.... ukatu'ula ai' vamaka vasina maana ai

kutunga nchedi kintu che? wavire mukokoyo ai'
 
Hivi wana JF hatuwezi hata siku moja kuheshimiana na kuacha kukandya makabila ya wenzetu? Naona kama hii tabia ndiyo inayofanya wageni kuja na kutudharau na kuchukua rasilimali zote hapa nchini

I have observed a trend that we either degrade/belittle each kijinsia au kikabila... na kibaya zaidi kidini.

Na hili nalo tutalalamikia CCM? au ni laana fulani? Hakuna kabila tanzania lisilo na watu warembo, waaminifu, wenye roho nzuri, maumbile bora, akili za maisha na darasani nk. pia the opposite

Tunyanyuane na sio kushushana jamani
sio msandawe halisi ati... he is below sea level
 
Back
Top Bottom