Mi naona historia hukusoma au kama ulisoma basi ulizungusha, hakuna kabila linaloitwa wambulu, Mbulu ni wilaya, kabila ni wairaqw, wala hakuna wa gadzabe ni wa hadzabe, sasa warangi, wala hata hawahusiani na wairaqw, wala wanyaturu, wala wataturu, ila wa mang'ati, wa barbaig, wataturu, watatoig hao wanahusiana wairaqw wanahusiana na wafyomi, lakini tabia kidogo zinaendana, maana wairaqw na warangi hasa wa kike, ni wazuri kweli wa sura na ni wahudumu wazuri wa maswala ya kijamii, ila hao wengine ni wafugaji na wengine wanaishi porini kama wahadzabe wala hata hawachangamani na watu wengine