Ndevu mbili
JF-Expert Member
- Jan 11, 2011
- 379
- 40
Ukioa siku ya saba lazma arudi kwao akakabidhiwe **kanyoka kake kakufuga** ndani kwa siri hahahaaaa!
Hii lugha uliotumia ndio kiswahili?
Ukioa siku ya saba lazma arudi kwao akakabidhiwe **kanyoka kake kakufuga** ndani kwa siri hahahaaaa!
Sounds like a promo, sina mbavu.
Mmesahau wengi kichwani weupeee peee/akili za class hamna kitu. Ndio house galz product shizzle
Wanawake hupendelea kufanya biashara za kuuza vitu vidogo vidogo jioni kama samaki na karanga kwa mwanga wa koroboi. Hawa ukuoa hata kama una kila kitu, ukimzua kufanya biashara zake pembeni ya barabara atakuacha penda usipnde.
Kwa nyongeza tu, Wanaume wao hupenda sifa sana hasa akizikamata.
jamani watanzania kwa kupakaziana siwawezi
maana kila kabila silo. mlianza na wahaya, mkeenda kwa wachaga, mkeenda kwa wa wasukuma kwa kweli hakuna kabila lililo salama
na ukimchunguza sana bata utashindwa kumla
Kwa taharifa yako tu, Hawa ndugu zetu hupendelea zaidi kuandika barua zao kwa kuzianza kwa salamu za kikwao, hata maandishi ya mapambo kwenye vyombo vya usafiri mengi huyaandika kwa lugha yao ya Kirangi kuliko makabila mengine ya Tanzania.
Nipo Kondoa leo, Siku njema wana JF
KONDOA sio mchezo! Uki -ONDOA tabia yao ya kufanya tendo la NDOA kwa kugusa tuu, maisha yao wameyatia DOA japo waoaji bado wana wa OA sana na kuwapa maksi za A kwa rangi na uzuri wa sura.
Upande wa tabia, Warangi wana belong kwenye kundi la makabilaya Wairaque wa Tanzania, jamii nyingine ni Wambulu, Wasandawi, Wabarbaig, Wagadzabe, Wataturu, Wanyaturu na Wabalungi.
Wanawake wao wote ni weupe, sura ndogo za mviringo, nywele za singa, miguu mwembamba, wanatahiriwa na hawana roho mbaya, ukigusa tuu ni twende na hawana bei, kwa lugha nyingine, ni waachiaji wazuri na hawajatulia, halafu sina reference kama kweli wana kolea!
dah mnanikumbusha khadija wangu jamani, mtoto wa kirangi she was so cute lkn miguu tu alikosa hilo nathibitisha, huyu mtoto ndo nilopojifunzia style zote tulikuwa bila bao nne hatujatoka room, upo wapi khadija. Nakumbuka mapenzi yalituzidi mpaka ilifika kipindi tunajifungia gesti toka saa nne asubuhi mpaka kumi na mbili jioni, khadijaa mtoto wa kondoa ilikuwa arusha hiyo wadau, nakumbuka my bro alisafiri km wiki hivi khadija alikuwa anaishi na dada'ke pale mitaa ya shamsi kwa vile ilikuwa jirani na home basi usiku alikuwa anatoroka. eti anafunga uzi wa kushonea kwenye mguu wake halafu anautolea dirishani basi mie ikifika saa nne usiku naenda dirishani nauvuta ule uzi anashtuka tunasepa kuibanjua amri ya sita. dah khadijaa mtoto wa kirangi maskini walimkeketa lkn kwa uwezo wangu niliweza kumfikishaa kileleni. warangi wazuri bana lkn pale arusha hawana sifa nzuri.
Kwenye miguu upo sahihi
Kuna Basi lao lilikuwa linatoka Kondoa Dar Yarab Salama.....na ''kamujingijingi Imamba sana''
hahahahaha kamujingijingi saidi ilomo,kumbe mkuu unawajua sana wamefilisika wote hawa na utajiri wa kulala na mabinti zao