Unawafahamu vizuri madaktari wa muhimbili?

kwa kawaida mgonjwa hutokea nyumbani>dispensary>health centre>district hospital>regional hospital(specialists)>referal hospital(specialists)>specialized hospitals(super specialists)mtiririko huo hapo juu unaonyesha mpangilio wa matibabu ya mgonjwa na kila unapopanda ngazi ndivo unavyokutana na magonjwa magumu na ya ajabu.it is very rare kwa specialist(labda yuko kwenye research) kukutana na mgonjwa wa malaria,mara nyingi mgonjwa huyu huishia level ya dispensary au hata duka la dawa la fundi mchundo.sasa mbumbu kama wewe hutaki daktari bingwa aekewe Ct scan ili asubiri kufunga vidonda na kutibu malaria!!kama huelewi nitakutafutia michoro kilaza mkubwa we.

Asante sana kwa kunifahamisha yote haya maana ni maguimu mno kuelewa mtu kama mimi. Swali langu ni dogo, na linatokana na ulichokisema awali, je specialist ana jua kufunga vidonda na kutibu malaria? Na je kila specialist anahitaji CT scanner? Na je, bila CT Scanner, basi specialist hawezi kutoa huduma?

Amandla........
 
nawasiwasi hata wewe ni mmojawapo wa wale wasiowafahamu vizuri madaktari yaani hamtofautishi physiotherapists, occupational therapists, pharmacists, nurses, auxillary staffs au madaktari. Hata hivyo haisadii kuwalaumu wafanyakazi wa sekta moja tu, wakati jamii nzima imeoza. mbunge anadai mamilioni ya pesa kutoka kwa wachimba dhahabu ili kuzima vifo vya raia, amepata wapi huo ujasiri wa kufanya hivyo? jibu ni kwamba anauzoefu wa ikulu na anajua yote yanayotendeka huko. Uozo ni kutoka juu hadi chini, sasa madaktari wao wafanyeje wakati nao ni sehemu ya jamii? Mahitaji yao ya kila siku watayatimizaje? Wewe na mimi wote tunajua mishahara haitoshi.Nchi sasa ni kitendawili, ni mwendo wa kutega na kutegua tu mpaka pale watanzania wenye uwezo na uelewa watakapo pata nafasi ya kuikomboa nchi yao.
Kwamba 2siwalaum??, machoz yamenitoka ghafla, mi mkulima, mtoto wa mkulima, kila kona ninyonywe tu! Ntaishi vp mie?? Nikimbilie wapi basi nikimsubiri huyo mkomboz wa nchi aje?? Huyo mkomboz ni nani na atakuja lini?? Jaman, chezeeni kote muwezavyo lakn si ktk UHAI.
 
Kwa kifupi hospitali zote za Tanzania ni uozo.
Pesa ndiyo inayoongea.

Hata pale unapolipa pesa kibao kama aga khani usumbufu kibao hadi umuone dr kama upo serious unafia kwenye benchi.
Hakuna wito ni ubepari mtupu. Mbeba fail anataka rushwa hadi kumfikia dr umetoa za kutosha na. wanaomba vipi chai au nipeleke fail hivi hivi tu?

So hii nchi tunakoenda kugumu mno!
kweli hii kazi mtu unakufa unajiona, nimeona mahali pengine kwenye hospitali binafsi za hali ya juu mgonjwa anafunguliwa fail then fail unatunza mwenyewe kila unapoumwa na kwenda kwenye hiyo hospitali unabeba na fail lako pale unawahi namba tu ila taarifa zako pia zinakuwa kwenye komputa. Hii inondosha upungufu wa hao wabeba mafail kudai kitu kidogo.
 
Asante sana kwa kunifahamisha yote haya maana ni maguimu mno kuelewa mtu kama mimi. Swali langu ni dogo, na linatokana na ulichokisema awali, je specialist ana jua kufunga vidonda na kutibu malaria? Na je kila specialist anahitaji CT scanner? Na je, bila CT Scanner, basi specialist hawezi kutoa huduma?Amandla........
sasa utakuaje specialist bila kujua basics(malaria na vidonda),unapoongelea specialist inamaana alishatibu malaria kwa miaka kadhaa,akasoma nakuspecialize kwenye eneo fulani mfano kinamama,watoto n.kukimkuta specialist anatibu malaria basi ujue tatizo kuu la mgonjwa sio malaria!Vivyo hivyo kwa vidonda.Daktari bingwa wanaweza kutibu bila CT SCAN!Lakini ili kutoa matibabu mazuri na kwa muda muafaka Ct scan ni kifaa muhimu kwa sasa.Ukihitaji maelezo kuhusu ct scan ni nini na kazi zake nakushauri ugoogle search.Nina wasi wasi na wewe unayejua umuhimu wa ultra sound,dialysis halafu hukubali umuhimu wa ct scan!Mambo sio magumu kama ukituliza kichwa chako na kushirikisha vizuri ubongo wako.
 
sasa utakuaje specialist bila kujua basics(malaria na vidonda),unapoongelea specialist inamaana alishatibu malaria kwa miaka kadhaa,akasoma nakuspecialize kwenye eneo fulani mfano kinamama,watoto n.kukimkuta specialist anatibu malaria basi ujue tatizo kuu la mgonjwa sio malaria!Vivyo hivyo kwa vidonda.Daktari bingwa wanaweza kutibu bila CT SCAN!Lakini ili kutoa matibabu mazuri na kwa muda muafaka Ct scan ni kifaa muhimu kwa sasa.Ukihitaji maelezo kuhusu ct scan ni nini na kazi zake nakushauri ugoogle search.Nina wasi wasi na wewe unayejua umuhimu wa ultra sound,dialysis halafu hukubali umuhimu wa ct scan!Mambo sio magumu kama ukituliza kichwa chako na kushirikisha vizuri ubongo wako.

Kumbe unajua yote hayo sasa kwa nini ullisema hawawezi kutibu magonjwa basic? Mimi sikatai kuwa CT Scan ni chombo kizuri na muhimu lakini ninachosema ni kuwa hatujafikia wakati wa kufunga hizo mashine katika mikoa yote. Kwa mfano, nasikia kwa wenzetu wana treni zinazoenda chini ya ardhi. Treni kama hizo zingesaidia sana kutatua matatizo ya usafiri tuliyonao katika miji yetu lakini huu si wakati muafaka wa kuzileta nchini!

I am impressed. Kumbe ulituliza ubongo kuja na ule mlolongo wa kutoka dispensari hadi supa speshelist hospital! Kweli mmesoma, wenzetu.

Amandla.......
 
Kumbe unajua yote hayo sasa kwa nini ullisema hawawezi kutibu magonjwa basic? Mimi sikatai kuwa CT Scan ni chombo kizuri na muhimu lakini ninachosema ni kuwa hatujafikia wakati wa kufunga hizo mashine katika mikoa yote. Kwa mfano, nasikia kwa wenzetu wana treni zinazoenda chini ya ardhi. Treni kama hizo zingesaidia sana kutatua matatizo ya usafiri tuliyonao katika miji yetu lakini huu si wakati muafaka wa kuzileta nchini!I am impressed. Kumbe ulituliza ubongo kuja na ule mlolongo wa kutoka dispensari hadi supa speshelist hospital! Kweli mmesoma, wenzetu.Amandla.......
mawazo ya kizee haya !!unategemea huo wakati utafika lini?na kama tulikuwa hatujajitayarisha why tunainvest pesa nyingi kutrain specialist atakayeishia kutibu malaria?kama ni hivyo tuwaache waende botswana malawi au rwanda."huu ni wakati wa kuunganisha shule zetu za msingi katika mkongo wa taifa lakini kuhusu CT SCAN tusubiri subiri kidogo"
 
mawazo ya kizee haya !!unategemea huo wakati utafika lini?na kama tulikuwa hatujajitayarisha why tunainvest pesa nyingi kutrain specialist atakayeishia kutibu malaria?kama ni hivyo tuwaache waende botswana malawi au rwanda."huu ni wakati wa kuunganisha shule zetu za msingi katika mkongo wa taifa lakini kuhusu CT SCAN tusubiri subiri kidogo"

Hivi wanazuiwa kwenda Botswana au kufungua viji-konsaltansi vyao? Hivi unaweza kulinganisha kweli mradi wa kuunganisha shule za msingi na CT scanner kila mkoa? Hizo CT Scanner zinaweza kutumia solar kwa mfano? Hauoni kuwa kwa kuboresha elimu ndio tutapata wataalamu watakaoweza kuzihudumia hizo CT Scanner?

Amandla.....
 
Niliwahi kwenda aga khna hospital mwaka 2005 yaliyonikuta sijakanyaga mpaka leo. Nilivunjika mkono kwenye soccer na nilienda pale Aga khan siku inayofuata saa 3 asubuhi yaani nilikuja fungwa ogo (POP) saa 3 usiku. Muda wote wanatoa udhuru tu na kuwahudumua wahindi tuuuuuuuuuuuu utafikiri sie ngozi nyeusi sio watu. Na sijakanyaga mpaka leo. na pia ndugu yangu alishawahi fanyiwa opeartion pale mwana 2006 jamaa walisahau kipande cha bandeji kwenye tumbo ilibidi watu wajitoe wampeleke south afrika ilikaribia afe kwa ufala wao wale wahindi. Mi nafikiri wangeweka wazi tu kama Agha Khan raia ambao sio wa asia wasije tujue moja. Tatizo si muhimbili tu hata kwa hizo hospital za private ndio kuna uozo balaa. Hata hindu mandal nako uozo mtupu.
 
hebu mweke hapa huyo dr jina lake tumchambue. unaogopa nn mtu wako si ameshatibiwa???,, wakija nje huku hawapewi ruhusa kutibu mtu wao kazi yao ni kuwashikia madaktari wa huku mikasi na madawa wkt wa operation.taaluma yao ni ya mashaka ndio maana huku hawaminiwi hata kidogo, wa nje hawezi kufanya upuuzi kama huo wao wanatibu mapema na ukipona ni sifa kwao wanaapublish pepa kuongeza credit.Ndio maana muh2 vifo vya kijinga haviishi,mm binafsi walishaniharibia mwanangu kwa kumdumga masindano ambayo sio na kumuovadozi mtoto karibia angekufa,lkn wao hawajali.
wewe huko unafanya kazi gani professional kusema madaktari wanashika mikasi? kwa taarifa yako hata akija mzungu bongo atashika mikasi kwanza kabla ya kuaminiwa, huwa maisha ya mtu si ya kucheza nayo. Wewe mwenyewe sana sana utakuwa unasafisha vyoo vya wazungu, au unabeba mabox, njoo nyumbani utusaidie kupambana na hali mbaya ya maisha.

Madaktari bongo wanajitahidi sana licha ya kufanya kazi katika mazingira magumu, hakuna vifaa, dawa za shida, hebu wahurumieni hawa madaktari na muwapongeze. Hata kama alichukua pesa yako ukapona, what is that vijisent ukilinganisha na uhai wako. Acheni kumalizia frustrations zenu kwa madaktari.
 
Ozzie, P53...naona mnabishana na mbumbumbu Fundi 'Feki' Mchundo ambaye anaonekana wazi ana 'chuki binafsi' na fani ya udaktari, labda alishindwa kuafulu kiasi cha kuweza kujoin medical school..maana naona ametoka kwenye mada ya rushwa na kukimbilia affairs za medical profession per se! Mnapoteza muda wenu, najua Ozzie una wagonjwa zaidi ya 100 wanakusubiri Mwaisela, na wanafunzi wa udaktari kama 30 wansubiri uwape shule ili waje kutukanwa na watu mbumbumbu ka Fundi huyu feki. Mtaokoa muda wenu kama mtaenende kwenye kazi zenu na kuachana na huyu jamaa!


Mkuu unakumbuka niliwahi kukwambia kuna watu ni natural born Docs haters .. watu kama fundi mchundo hawana shukran kabisa! ni walewale wanaopiga kelele udactari ni wito, nipo namtibu mgonjwa wa TB nina 60% chance ya yeye kuniambukiza TB.. nyumbani nina katoto kadogo amabye ni rahisi na yeye kupata ile TB .. bado anapiga kelele udactari ni wito, ifike kipindi wa TNZ muwe na shukran kwa madactari .. wapo madactari wanatoa nauli hadi kwa wagonjwa , "tatizo lake ana compare one small tree to the entire forest."

Serikali iboreshe mazingira ya kufanyia kazi, mishahara mizuri ufike angalau M3 kwa "MD" anayeanza kazi... tuone kama rushwa itakuwepo, msiwalaumu ma dactari wananchi ipigieni kelele serikali iboreshe mazingira yao ..

 



Mkuu unakumbuka niliwahi kukwambia kuna watu ni natural born Docs haters .. watu kama fundi mchundo hawana shukran kabisa! ni walewale wanaopiga kelele udactari ni wito, nipo namtibu mgonjwa wa TB nina 60% chance ya yeye kuniambukiza TB.. nyumbani nina katoto kadogo amabye ni rahisi na yeye kupata ile TB .. bado anapiga kelele udactari ni wito, ifike kipindi wa TNZ muwe na shukran kwa madactari .. wapo madactari wanatoa nauli hadi kwa wagonjwa , "tatizo lake ana compare one small tree to the entire forest."

Serikali iboreshe mazingira ya kufanyia kazi, mishahara mizuri ufike angalau M3 kwa "MD" anayeanza kazi... tuone kama rushwa itakuwepo, msiwalaumu ma dactari wananchi ipigieni kelele serikali iboreshe mazingira yao ..

Nyie bwana msitake kulazimisha kuwa nyie ndio unique saana. Hapana! Walimu wanafanya kazi kubwa saana nadhani nyie mngepaswa kuwa wa kwanza kuwashukuru walimu kabla ya kuanza kujisifu hapa jamvini. Pia mtambue kila Professional ina umuhimu kwa taifa hili. Hebu taja professional moja tu ambayo haina haja ya kuwepo katika dunia hii.
 
Hivi wanazuiwa kwenda Botswana au kufungua viji-konsaltansi vyao? Hivi unaweza kulinganisha kweli mradi wa kuunganisha shule za msingi na CT scanner kila mkoa? Hizo CT Scanner zinaweza kutumia solar kwa mfano? Hauoni kuwa kwa kuboresha elimu ndio tutapata wataalamu watakaoweza kuzihudumia hizo CT Scanner? Amandla.....
kwani solar power haizalishi umeme?kwa hiyo CT SCAN ya muhimbili au aga khan zinategemea umeme wa Tanesko 24/7?kuna makao makuu ya mikoa mangapi yasio na umeme?Wataalamu wa kuhudumia C.T SCANNER wapo wengi sana na wataongezeka iwapo tutaintroduce hizo ct scan.jibu swali langu unategemea lini ni wakati muafaka wa kuweka Ct scan.kila mkoa?kumbuka ilisemekana hizi hospitali zinatakiwa kuwa referal hospital.
 
Hata mnabishana wakati kila kitu kiko wazi............alaumuye na kuwasuta madaktari labda hayajamkuta! Lakini yes there is day.......thread inawatuhumu madaktari wote wa muhimbili MNH and MOI altogther coz no tonsilectomies are done at MOI, na pia inaziluamu hizi taasisi. Hapa napata shida kidogo kama madaktari wote wako hivyo kwamba wana mioyo ya 'nyoka' then mtoa mada must be sick na anahitaji medical attention.

Tukubaliane kazi ya kutibu katika mazingira ya kwetu ni ngumu kuliko kawaida. Serikali na umma kwa ujumla haitaki kuweka vitendea kazi na mazingira yafaayo 'siyo bora' kwa ajili ya kutoa huduma halafu lawama zinawadondokea madaktari. Hapa pia there is something wrong....a big problem. Fani ya udaktari popote pale duniani inajulikana kuwa haiko user friendly kwa madaktari wenyewe, hapa namaanisha huko kusoma kwenyewe ni tabu.

Lakini pengine hiyo si hoja bali hoja ni kwamba the real practise of medicine itself, the art and science of medicine practice is sooooo challenging and demanding sana, mentally, physically and morally. Na pengine hapa ndio tofauti iliyopo...............na siyo ajabu kuanzia nchi zilizoendelea na zinazoendelea madaktari na fani zingine za afya 'wanajaliwa' kwanza kimapato na pia kuboresha mazingira ya kazi na vitendea kazi.

Madaktari wa Tanzania nao wanastahili fadhila na haki kama hizo Ishu ya CT scan japo this is of topic kwa kweli si tu zinahitajika bali ziwepo at the very minimum kwenye hospitali za wilaya. Hospitali za mkoa that is too late for the patient..........This is not a luxury, it is a neccessity for good health.Kwa madaktari kuendeleza mjadala huu ni upotezaji wa muda wenu kwani kilicho dhahiri ni kwamba kuna dalili zote za unfounded mistrust na wivu kwa madaktari, pamoja na.....
 
Madaktari wana mambo ya kishetani, haa shetani nafikiri ana uzuri kiasi fulani. Imagine mama mjamzito ana uchungu unataka rushwa, tunaenda wapi wadau? siku akinifanyia mimi si uongo nitamtoa jina lake humu na langu pia ili ajibu mapigo. Ikiwezekana wana JF tuwe front kufuatilia wapumbavu kama hawa wanaoleta ujinga makazini. Mijitu inasomeshwa ikafanye kazi lakini bado haina shukurani!

Inaudhi na kukatisha tamaa.
 
Back
Top Bottom