Masikini_Jeuri
JF-Expert Member
- Jan 19, 2010
- 6,829
- 1,296
I am now getting scared.... au Maskini_Jeuri unanifahamu? Kwa kifupi none is untrue, lakini kugombea aisee...bado nipo nipo kwanza...
Dada mimi ndio nilikuwa wa kwanza kushtushwa kuwa huenda members wa3 waliomo humu wanonifahamu wamekunong'oneza! Ukiacha issue ya family ambayo haijifichi!
Lakini nimekuwa mfuatiliaji wa hoja zako; si vibaya nikasema hata kama huwa sikubaliani na msimamo wako mara nyingine lakini huwa nakubali namna unavyozijenga! Napenda hiyo style yako; you don't urge for the sake of urguing; unaelimisha! Wewe na wengine kama wewe mnatufunza na hakika nikupe moyo ; tunaokuelewa tunafaidika! Hivyo ongeza bidii! Tanzania inajengwa na sisis wenyewe!