Vawulence
JF-Expert Member
- Jan 4, 2009
- 1,928
- 2,101
Kichaa alikuwa amevaa miwani jicho likawa linamuwasha. Alipokuwa akijikuna akawa anakuna juu ya miwani ndipo dada mmoja akamuambia si uvue hiyo miwani ndio ujikune? Yule kichaa akamuambia "Hebu niache huko,kwani wewe ukitaka kujikuna **** unavua chupi?"