10 ya mia, jamaa anaboa sana kwa kweli. Hivi jamani hakuna ndchi hii inachoweza kufanya yenyewe kila kitu azima tupate toka kwa wahisani??? Kila fanikio aaloeleza nilakutoka kwa wahisani na yeye anaona amefanya kazi kweli! Anadisapoint, kibonde amuuliza swali la 2025 yeye anazungumzia mawasiliano badala ya uchumi, elimu na afya n.k,Anaulizwa swali la afya yeye anpiga stri binafsi zake na dactari gani sijui waliokutana huko alikokua ankula bata!!
Lile lilikuwa igizo, maswali yaliandaliwa na Kinana na Kingunge, wakaandaliwa waulizaji, JK akafundishwa namna ya kujibu akafanya mazoezi kwa zaidi ya siku 5, lakini ameshindwa badala yake kikazuka kigugumizi, nampa alama 5 kwa 100. BURE KABISA, NI MAAFA KWA TAIFA KWA HUYU KIUMBE KURUDI IKULU
JamiiForums uses cookies to help personalise content, tailor your experience and to keep you logged in if you register.
By continuing to use this site, you are consenting to our use of cookies.