figganigga
JF-Expert Member
- Oct 17, 2010
- 25,492
- 54,890
habari yako mwana jf.
unataka kujua kilo zako?
fanya hivi;
pima ulefu wako kwa sentimeta halafu utoe 100.jibu utakalo pata ndo kilo zako.kama zitapungua kula ziongezeke ,kama zinazidi zipunguze.
mfano;urefu wako kutoka kichwani hadi kwenye visigino ni cm 160.ikitoa mia inabakia 60.hiyo 60 ndo kilo zako zinazotakiwa mwilini.fanya hilo zoezi.
keep it 100.halafu leo sijapata likes za kutosha naomba unigongee baada ya zoezi.mia
unataka kujua kilo zako?
fanya hivi;
pima ulefu wako kwa sentimeta halafu utoe 100.jibu utakalo pata ndo kilo zako.kama zitapungua kula ziongezeke ,kama zinazidi zipunguze.
mfano;urefu wako kutoka kichwani hadi kwenye visigino ni cm 160.ikitoa mia inabakia 60.hiyo 60 ndo kilo zako zinazotakiwa mwilini.fanya hilo zoezi.
keep it 100.halafu leo sijapata likes za kutosha naomba unigongee baada ya zoezi.mia