- Thread starter
- #21
Siku moja moja ujisaidie vyoo hivi vya kulipia ni 200/= tu.Sisi tunaotumia vyoo vya shimo tutakaguaje mzigo?
Siku moja moja ujisaidie vyoo hivi vya kulipia ni 200/= tu.Sisi tunaotumia vyoo vya shimo tutakaguaje mzigo?
Sisi tunaotumia vyoo vya shimo tutakaguaje mzigo?
hihiiiiii... hiiiiiiihihihhihihiiiiiiimkuu itabidi mzigo uutuwe transit kwa special airport check kabla kufika destination. dah! yaani hii sredi hizi mida za launch ndio imepata mahubiri mengi. kweli wabongo launch tunakula jioni.
Afadhali umetaja karanga sasa uzile utaona utafauti na mavi mbuzi yataacha.Na ukitoa mzigo kama ya ndafu/mbuzi yanakuwa kama mbegu mbegu au karanga?
.
Hamia kwangu kuna choo cha kidhungu.
Sisi tunaotumia vyoo vya shimo tutakaguaje mzigo?
dah! mkuu itakuwa washakuloga tu. katafte helizi uvaeNa ukitoa mzigo kama ya ndafu/mbuzi yanakuwa kama mbegu mbegu au karanga?
kuna kila dalili kwamba kamanda uporoto anataka kushift mtandao. halaf hii kinyesi kupewa grade hata mzumbe hawana hii sylabuss. yaani uporoto anaonekana ni professor wa vinyesi.Uporoto leo naona ameamua kuwa "mzee wa mavi"
Ngoja nikajitafutie poti!
karibu sana ila uwe tayari kunisaidia mizigo ya aina nyingine lol!nitakuwa nakuja kila nikitaka kushusha zigo.
Nafata masharti kwahiyo mara nyingi ni 'S'.sasa ndugu yangu uporoto... Leo imekuaje ukaja na sera za makimba??
Ulikata gogo asubuhi lakini?? lilikua na shepu gani?
khe khe kheheheeeee, hihihiiiiiiii :focus:
Matatizo yanamfanya mtu kuwa 'profesa' hali ya usagaji/kinyesi ilikuwa mbaya nikafanya reseach Google.kuna kila dalili kwamba kamanda uporoto anataka kushift mtandao. halaf hii kinyesi kupewa grade hata mzumbe hawana hii sylabuss. yaani uporoto anaonekana ni professor wa vinyesi.
Elli nilikuwa na tatizo hili kwa muda nikaona ni-share ufumbuzi wake,kuhusu title nimefanya makusudi ili watu wasome ningeweka 'aina za haja kubwa' isingepata wasomaji wengi,si umeona zile threads za 'usifungue' hupata watu wengi ?Content excellent but title, kidogo inaukakasi, inataka moyo kuifungua! thanx
eeeh, aaaah,mmmmh.... Nimeshikwa na kigugumizi.karibu sana ila uwe tayari kunisaidia mizigo ya aina nyingine lol!