The Finest
JF-Expert Member
- Jul 14, 2010
- 21,605
- 6,071
Mpwa taratibu mm nimesha kutime hapa niachie mm wewe endelea na wengine
:becky::becky::becky::becky: Naona kama ni booking ulifanya mwezi mmoja kabla ya safari
Mpwa taratibu mm nimesha kutime hapa niachie mm wewe endelea na wengine
Hiyo avatar yako ina uhusiano wowote na physical appearance yako?
Mpwa taratibu mm nimesha kutime hapa niachie mm wewe endelea na wengine
Mimi.....wa kwanza kabisa natamani ikumuona "Superman" coz huyu jamaa huwa nasoma posts zake mara nyingi na muonekano wake unaelekea ki-superman kweli just like the superman himself......
Then ningependa kuwaona hawa: Aspirin, Nyani Ngabu, The Finest, Beauty....... mmh have always wondered ile avatar kama ina uhusiano wowote na muhusika......heee!
Pia; Firstlady, Invisible!! japo sijui kama hapo panawezekana..... Lakini kama ningepata nafasi ya kuwaona: Rev Masa na Fidel80
ningefurahi sana......:smile-big:
Mie naona Askofu atanibariki kwa baraka za Bwna.Hivo tuonane Baba askofu....
Askofu safari hautakuwa VATICAN?
Itabidi upate fuuuull baraka kutoka kwa Maaskofu wote kwa mpigo i.e Baba Askofu na Rev. Masanilo,
Mimi pia mkubwa, thanx!genekai,
Kizuri si unakula na wenzako jamani??
basi mada haikuhusuSitamani kuona mtu hapa...
Dah! kamanda ushaniwahi mara?Mpwa taratibu mm nimesha kutime hapa niachie mm wewe endelea na wengine
Hhahaha! maumivu yakizidi muone daktari... Karibu muzee... Pia mimi napenda sana tuonane.Mimi.....wa kwanza kabisa natamani ikumuona "Superman" coz huyu jamaa huwa nasoma posts zake mara nyingi na muonekano wake unaelekea ki-superman kweli just like the superman himself......
Then ningependa kuwaona hawa: Aspirin, Nyani Ngabu, The Finest, Beauty.......mmh have always wondered ile avatar kama ina uhusiano wowote na muhusika......heee!
Pia; Firstlady, Invisible!! japo sijui kama hapo panawezekana..... Lakini kama ningepata nafasi ya kuwaona: Rev Masa na Fidel80
ningefurahi sana......:smile-big:
:becky::becky::becky::becky: Naona kama ni booking ulifanya mwezi mmoja kabla ya safari
Je, humu JF umewahi kuwaona akina nani live? Ni nani pengine ungetamani kumwona, labda kutokana na kauli na vituko vyake humu JF?
Lakini kama ningepata nafasi ya kuwaona: Rev Masa na Fidel80
ningefurahi sana......:smile-big:
Idd ipi sasa mosi au pili?
Wapi Gaijin, FirstLady1, Nyamayao, Lady, Da Sophy!!!!!!!!! natamani saaaaaaaaana tu kukwatieni machoni!
Je, humu JF umewahi kuwaona akina nani live? Ni nani pengine ungetamani kumwona, labda kutokana na kauli na vituko vyake humu JF?
karibu chamber mkuu... twala red label kwa kutirirsha na si kwa matone!!And Acid ofcourse......
bacha taratiiiiiiib..............lugha yako inaweza kuzua utata kwa wale wasiofahamu kwa ufasaha lugha ya taifa au kwa wale wenye uelewa mkuu wa lugha hiyo