Asprin
JF-Expert Member
- Mar 8, 2008
- 67,977
- 95,297
Baba yetu Uliye Mbinguni...........!Maji tu Aspirin, sitaki upate gharama lol!
Sura yako tu nahisi ntashiba!
hebu twende PM basi nami niisuuze nafsi yangu LOL
Follow along with the video below to see how to install our site as a web app on your home screen.
Note: This feature may not be available in some browsers.
Baba yetu Uliye Mbinguni...........!Maji tu Aspirin, sitaki upate gharama lol!
Sura yako tu nahisi ntashiba!
Asprin ulimaanisha hili hili neno au ni jingine :becky::becky::becky::becky:
Usilitaje bure jina la Bwana Mungu wako.....ole wako..Baba yetu Uliye Mbinguni...........!
hebu twende PM basi nami niisuuze nafsi yangu LOL
Mi nimewaona 75% ya wapwa wote.....
Sitamani kuona mtu hapa...
Konakali, Mkeshahoi, Asprin, Nyani Ngabu, FL1, Acid, Fidel, roseyline1, klorokwini, gaijin, Next Level, Kaka Jmabazi, Tusker Baridi, Bacha, Baba Enock, Msanii, Kaizer, Silent Whisper, Kibweka, Funza Dume, Askofu, Mfunyukuzi, Zion Daughter, Caroline Danzi, Kanyafu Nkanwa, genekai, and the list is endless
Unatumia kinywaji gani dada? Hick! hick! hick! Hebu ni PM tutafutane kwa msaada wa watu wa Marekani. Mi pia nakutamani sana kukuona!
finest ..............wengine humu si watu!
mimi kwa vile mgonjwa mgonjwa natamani kuwaona Asprin na Quinine uenda nikawa The Finest.
Anyways itabidi siku tuandae party ya wana Jf bila kujali itikadi zetu za aina yoyote ile.
Mie naona Askofu atanibariki kwa baraka za Bwna.Hivo tuonane Baba askofu....mimi kwa vile mgonjwa mgonjwa natamani kuwaona Asprin na Quinine uenda nikawa The Finest.
Anyways itabidi siku tuandae party ya wana Jf bila kujali itikadi zetu za aina yoyote ile.
mimi kwa vile mgonjwa mgonjwa natamani kuwaona Asprin na Quinine uenda nikawa The Finest.
Anyways itabidi siku tuandae party ya wana Jf bila kujali itikadi zetu za aina yoyote ile.
Usilitaje bure jina la Bwana Mungu wako.....ole wako..
Kiherehere...
Roho Mbaya
Karibu kwenye Mkesha wa Eid-El-Fitr.... tutakuwa na misa ya kuomba amani...ray2:ray2:ray2:
:confused2::confused2:
Ni...:A S-devil1::A S-devil1::A S-devil1:
mimi kwa vile mgonjwa mgonjwa natamani kuwaona Asprin na Quinine uenda nikawa The Finest.
Anyways itabidi siku tuandae party ya wana Jf bila kujali itikadi zetu za aina yoyote ile.
Iam complicated,sorry,very sorry!Zion dought ka uko singlelady nibip.
Hiyo avatar yako ina uhusiano wowote na physical appearance yako?
Itabidi upate fuuuull baraka kutoka kwa Maaskofu wote kwa mpigo i.e Baba Askofu na Rev. Masanilo,Mie naona Askofu atanibariki kwa baraka za Bwna.Hivo tuonane Baba askofu....
Aspirin, Kaizer na Fidel80!
ExactlyItabidi upate fuuuull baraka kutoka kwa Maaskofu wote kwa mpigo i.e Baba Askofu na Rev. Masanilo,