unatakiwa kuomba ruhusa au kuaga

Kwa misingi ya dini ya kiislam. Mke (sizungumzii mwanamke kwani sio kila mwanamke ni mke bali kila mke ni mwanamke) inampasa kuomba ruhusa kwa kila jambo analotaka kufanya kwa mume wake. Ila kama mume wake amempa ruhusa kwa mambo ya kila siku ya ndani ya nyumba kama kupika, kufua, kufagia na kama atampa ruhusa ya kwenda kuchota maji.

Kwa mke anayeishi katika misingi ya kiislamu haruhusiwi kuaga bali anatakiwa kuomba ruhusa.

Nasriyah Saleh Al-Nahdi
 
Kwa misingi ya dini ya kiislam. Mke (sizungumzii mwanamke kwani sio kila mwanamke ni mke bali kila mke ni mwanamke) inampasa kuomba ruhusa kwa kila jambo analotaka kufanya kwa mume wake. Ila kama mume wake amempa ruhusa kwa mambo ya kila siku ya ndani ya nyumba kama kupika, kufua, kufagia na kama atampa ruhusa ya kwenda kuchota maji.
Kwa mke anayeishi katika misingi ya kiislamu haruhusiwi kuaga bali anatakiwa kuomba ruhusa.

Nasriyah Saleh Al-Nahdi

Huko kisimani huko!
 
Back
Top Bottom