Ericus Kimasha
JF-Expert Member
- Oct 27, 2006
- 488
- 470
Nahitaji wine filter machine. Sijuhi kama kwa hao Wakaldayo vifaa vya kutengeneza pombe vinapatikana?
Milioni tatu! Labda kipindi cha JK. Sasa hivi unapigwa milioni moja ya ujenzi wa reli unapopitisha gari bandarini, hiyo ni nje ya ushuru wa gari.That's a good question, sijawahi kuwaletea watu dar mkuu na kwa research nlofanya cost yake kwa rav 4 haizid million 3
Duh mkuu mbona sjakuelewa kabisa yaaani sikuelewi ushuru na clearing bei gani mpaka hiyo rav4 iwe 4m ........That's a good question, sijawahi kuwaletea watu dar mkuu na kwa research nlofanya cost yake kwa rav 4 haizid million 3
me nataka TV flat screen inch 40 au 50 ila nisikufiche ukinitapeli ujue unaenda kunyea ndoo la nchuma ndugu yangu,sema kama zipo ni shilingi ngapi na ni aina gani zilizopoHabari zenu ,
Kwa wale wanaotaka vitu vifuatavyo kwa bei nzuri tutaftane,
KAMA UNA UHITAJI WA VITU HIVI NI PM,
1. Camera digital, za kisasa
Nimeweka picha muone ina range 80,000-200,000/
2 televisions ,
Inch 21-40 inaanza 250,000-400,000,
3. Printers
Canon, HP, zinapatikana na ni vema tukawasiliana,
4. Laptops
Aina zote zenye uwezo mkubwa, tshs 200,000- 500,000/=
5. Washing machines
Sonashi, automatic, semi automatic, west point , spin and drier ,
150,000-250,000/=
6. Magari aina zote
Hapa kuweni makin kidogo magari hayajasajiliwa
Bei , 3500,000-10,000,000/=
7. Simu smartphones
Hapa sisemi aina ni nyingi sana maana siwez kuzitaja zote,
Ila iPhone 5s 560,000/= Samsun galaxy note 500,000/-
8. Saws ,
Machine za mbao za umeme na mafuta, altendof, na aina nyingine,
9. Tractors ,
Hizi kwa ajili ya kilimo na kuvuna, combined harvester ,
10. Music system
Piano, keyboards, bands and other
Kama uko kwenye uhitaji wa vifaa hivyo tuwasiliane njoo PM
ELECTRA STREET, ABU DHABI, ROYAL PLAZA , MEZZANINE FLOOR, OFFICE NO , 201,
Lg, samsung na toshibame nataka TV flat screen inch 40 au 50 ila nisikufiche ukinitapeli ujue unaenda kunyea ndoo la nchuma ndugu yangu,sema kama zipo ni shilingi ngapi na ni aina gani zilizopo