mcrounmj
JF-Expert Member
- Feb 26, 2016
- 380
- 885
Usajir unaweza cost sh ngap chiefIkiwa imetolewa bandari ya dar ila usajiri ni mwenyewe
Usajir unaweza cost sh ngap chiefIkiwa imetolewa bandari ya dar ila usajiri ni mwenyewe
Ok asante kwa kuwapa tahadhari watu, ila si kila anayefanya biashara anakuwa analengo unalodhani,Sijajua Kwanini unaonekana kupanic, lengo ni kuwakumbusha watu kuwa makini wala sijakutaja wewe/mwandishi wa thread hii kama tapeli.
Biashara za kufanyika kishamba ninavodhani, sijui nini tatizo lako ila nimekusamehe.
Inategemea it can be 2000,000 up to 3000,000Usajir unaweza cost sh ngap chief
Onyesha na bidhaa zingine basii,ili tupate kuona kusudi tutamani kununua,hasa simu na laptop.Inategemea it can be 2000,000 up to 3000,000
Onyesha na bidhaa zingine basii,ili tupate kuona kusudi tutamani kununua,hasa simu na laptop.
Mkuu mbona hata kwa bei yake halisi inazidi kiasi hicho, au ni mchina?320,000/
Kule bongo ofisi yako iko sehemu gani?Biashara haifanyiki kishamba kama unavodhani terms na conditions zipo
umeshawahi kuwatolea wateja wako bandari ya dar? mara ya mwisho rav 4 kama hiyo nyeusi tra ulilipa kiasi gani?Ikiwa imetolewa bandari ya dar ila usajiri ni mwenyewe
Nimeshindwa kuku pm ila kama unaweza ni pm namba yako ya simu kuna kitu nakihitaji sanaHabari zenu ,
Kwa wale wanaotaka vitu vifuatavyo kwa bei nzuri tutaftane,
KAMA UNA UHITAJI WA VITU HIVI NI PM,
1. Camera digital, za kisasa
Nimeweka picha muone ina range 80,000-200,000/
2 televisions ,
Inch 21-40 inaanza 250,000-400,000,
3. Printers
Canon, HP, zinapatikana na ni vema tukawasiliana,
4. Laptops
Aina zote zenye uwezo mkubwa, tshs 200,000- 500,000/=
5. Washing machines
Sonashi, automatic, semi automatic, west point , spin and drier ,
150,000-250,000/=
6. Magari aina zote
Hapa kuweni makin kidogo magari hayajasajiliwa
Bei , 3500,000-10,000,000/=
7. Simu smartphones
Hapa sisemi aina ni nyingi sana maana siwez kuzitaja zote,
Ila iPhone 5s 560,000/= Samsun galaxy note 500,000/-
8. Saws ,
Machine za mbao za umeme na mafuta, altendof, na aina nyingine,
9. Tractors ,
Hizi kwa ajili ya kilimo na kuvuna, combined harvester ,
10. Music system
Piano, keyboards, bands and other
Kama uko kwenye uhitaji wa vifaa hivyo tuwasiliane njoo PM
ELECTRA STREET, ABU DHABI, ROYAL PLAZA , MEZZANINE FLOOR, OFFICE NO , 201,
Ok asante kwa kuwapa tahadhari watu, ila si kila anayefanya biashara anakuwa analengo unalodhani,
Hapa ulipaswa kuja na maswali ya kuuliza ukaeleweshwa siyo kuja na general assumption, najua waweza kuwa hujasemea kwa thread hii lakin pia ulipaswa kama una cha kuuliza zaidi ili kama kuna sehem uelewi utaeleweshwa,
Hapana siyo kujitolea faida IPO kubwa tena , inategemea stock imepatikana vipumeshawahi kuwatolea wateja wako bandari ya dar? mara ya mwisho rav 4 kama hiyo nyeusi tra ulilipa kiasi gani?
wasiwasi wangu ni kama unajitolea na haupati faida.
Nicon 600,000/=View attachment 407439 kamera kama hii ni shilingi ngapi?
Waitu noyendaki, ntakuelekezaBinafc cjuhi kuja huko PM na kuna bidhaa nataka nisaidieni nafanyaje.