tajiri mmoja mkubwa akiwa so bored,alisimama kando ya bwawa lake lenye mamba wakali wanyama wengine wa majini, alimuita msaidizi wake na kumuamrisha amletee watu watatu wenye ujuzi wa kuogelea.
Baada ya watu watatu kuletwa
Tajiri:"atakayeweza kuogelea kukatisha bwawa hili na kutoka salama nitampa atakacho "
Watu"mh"
Tajiri:"nani anaweza?"
Watu(kimya)
Tajiri akiwa mnyonge na amekata tamaa na kuanza kuondoka!
Mara ansikia pwaaaaaah,kuangalia bwawani anaona jamaa anakata maji kwa spidi ya hatari:
Tajiri akavutiwa sana na speed ya yule jamaa!
Baada ya jamaa kutoka majini
Tajiri:"sijawahi kufurahi kama leo,sema chochote utakacho nitakupa"
Jamaahuku akihema sana na macho yamemtoka)"namtaka mshenzi aliyenisukumia majini"
Baada ya watu watatu kuletwa
Tajiri:"atakayeweza kuogelea kukatisha bwawa hili na kutoka salama nitampa atakacho "
Watu"mh"
Tajiri:"nani anaweza?"
Watu(kimya)
Tajiri akiwa mnyonge na amekata tamaa na kuanza kuondoka!
Mara ansikia pwaaaaaah,kuangalia bwawani anaona jamaa anakata maji kwa spidi ya hatari:
Tajiri akavutiwa sana na speed ya yule jamaa!
Baada ya jamaa kutoka majini
Tajiri:"sijawahi kufurahi kama leo,sema chochote utakacho nitakupa"
Jamaahuku akihema sana na macho yamemtoka)"namtaka mshenzi aliyenisukumia majini"