Mzalendo JR
JF-Expert Member
- Jun 6, 2012
- 1,193
- 515
1:Sukuma (Shy.com) a.k.a Chapa ng'ombe are the Best.
Ila Chaga nipe desa za kutosha
Ila Chaga nipe desa za kutosha
11. Haya (Bukoba)
1. Appreciation ya wanawake/wanaume walio ndani ya kabila lakoUmuhimu wa kabila ulikuwa ni nini?
kwa miaka ya nyuma kitu cha muhimu sana cha kuangalia wakati wa kuoa au kuolewa ilikuwa ni kabila. Kwa sasa hiyo dhana imepotea. Watu wanaoana freely. Cha muhimu ni kujiangalia wenyewe kama kweli mnashabihiana badala ya kuangalia makabila yenu!
kwani hawa ni wanawake au ni makabila na sehem wanakotoka??Orodha kwa ubora (10 bora). namba ndogo inawakilisha ubora zaidi
1. Chaga (Rombo)
2. Bena (Iringa)
3. Zigua (Tanga)
4.Nyakusya (Mbeya).
5. Nyaturu (singida).
6.Hehe (Iringa)
7. Waha (kigoma)
8. Fipa (rukwa)
9. Luguru (morobest)
10.Sukuma (shinyanga)
Haya kazi kwenu
Mke mwemaheheheheee......maybe ungetoa na definition yako ya mke mwema kwanza....
How relevant is this list as per today's society ?Orodha kwa ubora (10 bora). namba ndogo inawakilisha ubora zaidi
1. Chaga (Rombo)
2. Bena (Iringa)
3. Zigua (Tanga)
4.Nyakusya (Mbeya).
5. Nyaturu (singida).
6.Hehe (Iringa)
7. Waha (kigoma)
8. Fipa (rukwa)
9. Luguru (morobest)
10.Sukuma (shinyanga)
Haya kazi kwenu
Kumbe matusi humu jf yalikuwepo tangu miaka hiyoHuu utumbo umeoza...Mods mngeutupa!! Matusi yataanza sasahivi
mwanamke wa rombo nkupe hints kidogo tu,kwnza n wapambanaji,yaan n ma hustler haswaa,ukiangalia biashara nying ndo wanazfanya ,mfanoo biashara ya ndiz na hiz parachichi,kubwa zaid wanawake wa kirombo huzingatia zaid elim kwa watoto wao,yaan akiskia jiran mwanae kafika level ya juu ya elimu,yuko radhi auze hata mifugo ili tu na mwanae afikie level hyo hyo,labda utuambie kuna tofauti gani kati ya wanawake wa machame,rombo na marangu
Orodha kwa ubora (10 bora). namba ndogo inawakilisha ubora zaidi
1. Chaga (Rombo)
2. Bena (Iringa)
3. Zigua (Tanga)
4.Nyakusya (Mbeya).
5. Nyaturu (singida).
6.Hehe (Iringa)
7. Waha (kigoma)
8. Fipa (rukwa)
9. Luguru (morobest)
10.Sukuma (shinyanga)
Haya kazi kwenu
Ulifanikiwa kupata notes ?1. Chaga (Rombo)
2. Bena (Iringa).
3. Zigua (Tanga)
4.Nyakusya (Mbeya).
5. Nyaturu (singida).
6.Hehe (Iringa)
7. Waha (kigoma)
8. Fipa (rukwa)
9. Luguru (morobest)
10.Sukuma (shinyanga)
Hizo zenye nyekundu tupe notice
Mimi nataka kuoa mke wa pili mnyaturu, wana sifa zipi madada wa kinyaturu ?Hapo kwa chaga,zigua na warangi
Ume bugi sitepu
Mimi nataka kuoa mke wa pili mnyaturu, wana sifa zipi madada wa kinyaturu ?Nilipoona kuna wanyaturu wa Singida na wanyakusya ndio nikajua wewe mtoa mada hujawahi kutembea wala hata haujui Tanzania ilivyo
Sent using IPhone X