GAZETI
JF-Expert Member
- Feb 24, 2011
- 5,278
- 6,642
Ni hawa; Fungua jamii Forum saa 6, usiku, utawaona bado wapo wakijadili au kusoma
Masuala Muhimu ya nchi hii wengine mpaka asubuhi wataendelea kuwepo,
Bila shaka wanachelea mgao wa umeme hivyo kwa mapenzi na uchungu wa nchi yao
wapo tu wanajadili na kusoma hili na lile, Kwangu hawa ndio
wazalendo, wamekosa nafasi ya kutoa michango yao bungeni lakini wako hapa huku
wanaojiita wawakilishi wa wananchi wakikoroma na wala hawana wasiwasi wa kukosa umeme.
Wasiwasi utatoka wapi wanao wanalipwa posho kubwa?
NIVEMA SASA JF LIKIWA JUKWAA MAALUM LA WAPIGANIA UHURU MPYA NA WA KWELI!
ALUTA CONTINUA.................................
Masuala Muhimu ya nchi hii wengine mpaka asubuhi wataendelea kuwepo,
Bila shaka wanachelea mgao wa umeme hivyo kwa mapenzi na uchungu wa nchi yao
wapo tu wanajadili na kusoma hili na lile, Kwangu hawa ndio
wazalendo, wamekosa nafasi ya kutoa michango yao bungeni lakini wako hapa huku
wanaojiita wawakilishi wa wananchi wakikoroma na wala hawana wasiwasi wa kukosa umeme.
Wasiwasi utatoka wapi wanao wanalipwa posho kubwa?
NIVEMA SASA JF LIKIWA JUKWAA MAALUM LA WAPIGANIA UHURU MPYA NA WA KWELI!
ALUTA CONTINUA.................................