Eiyer JF-Expert Member Apr 17, 2011 28,258 20,709 Jan 4, 2012 Thread starter #61 Shine said: Sikubaliani na hiyo tafiti kutokana na majina ha a cku moja hayaendani na tabia ya mtu labda iwe ni nick name Click to expand... Ndugu,unatakiwa ujifunze nguvu iliyoko kwenye majina!
Shine said: Sikubaliani na hiyo tafiti kutokana na majina ha a cku moja hayaendani na tabia ya mtu labda iwe ni nick name Click to expand... Ndugu,unatakiwa ujifunze nguvu iliyoko kwenye majina!
mbweta JF-Expert Member Dec 10, 2010 600 81 Jan 4, 2012 #62 Jaman nina boyfriend anaitwa Andendekisye kama kuna mtu anajua tabia zao nami anijuze.
mbweta JF-Expert Member Dec 10, 2010 600 81 Jan 4, 2012 #63 Eiyer said: Ndugu,unatakiwa ujifunze nguvu iliyoko kwenye majina! Click to expand... Kweli kama wakina Agnes na Grace wengi wao wanahasira usipime.
Eiyer said: Ndugu,unatakiwa ujifunze nguvu iliyoko kwenye majina! Click to expand... Kweli kama wakina Agnes na Grace wengi wao wanahasira usipime.
Eiyer JF-Expert Member Apr 17, 2011 28,258 20,709 Jan 4, 2012 Thread starter #64 Mabagala said: umewasahu kina Mage? aka Margaret, Margereth, Magret? Sofia sofia nao wamo wamo kwa kukosa utulivu Click to expand... Inawezekana nao wamo!
Mabagala said: umewasahu kina Mage? aka Margaret, Margereth, Magret? Sofia sofia nao wamo wamo kwa kukosa utulivu Click to expand... Inawezekana nao wamo!
Eiyer JF-Expert Member Apr 17, 2011 28,258 20,709 Jan 4, 2012 Thread starter #65 mbweta said: Kweli kama wakina Agnes na Grace wengi wao wanahasira usipime. Click to expand... Akina Grace wanazira sana!
mbweta said: Kweli kama wakina Agnes na Grace wengi wao wanahasira usipime. Click to expand... Akina Grace wanazira sana!
Eiyer JF-Expert Member Apr 17, 2011 28,258 20,709 Jan 4, 2012 Thread starter #66 mbweta said: Jaman nina boyfriend anaitwa Andendekisye kama kuna mtu anajua tabia zao nami anijuze. Click to expand... Kama ni jina la kwanza sawa,ila kama ni jina la pili achana nalo fuatilia la kwanza!
mbweta said: Jaman nina boyfriend anaitwa Andendekisye kama kuna mtu anajua tabia zao nami anijuze. Click to expand... Kama ni jina la kwanza sawa,ila kama ni jina la pili achana nalo fuatilia la kwanza!