cheusimangala
JF-Expert Member
- Feb 27, 2010
- 2,585
- 497
Tafadhali ukipata majibu utuletee!
shem kuna utafiti nafanya hapa ukikamilika ntaleta results,hadi sasa 65% inakubaliana na ww,acha niendelee na utafiti.
Tafadhali ukipata majibu utuletee!
Haya bana Husninyo,hujambo lakini?
Rose wote ninaowafahamu ni watulivu sana.
Aisee, ni kweli bana............. hapa ofisini kuna Rose wawili, mmoja kaolewa na ni mama wa makamo lakini ni mbeya huyooo.....Na mwingine bado kabinti, yeye hajaolewa na hataki kuolewa inavyoonekana, na yeye ana vibuzi na waume za watu wakija usawa wake anaswaga...............
Mungu wangu Mama Ngina asije akasoma hii maneno maana atadhani na mimi nimewahi jibebea.....LOL
Lo! Rose! Marehemu shangazi yangu, enzi zake alitetemesha waungwana!
Hivi ni kweli rose mhando amezalishwa watoto wengi na wanaume tofauti tofauti? Nauliza tu wakuu ili kukazia 'hukumu'.