Juaangavu
JF-Expert Member
- Nov 3, 2009
- 935
- 132
<br /><font face="Arial Black">This is a pipe dream. Nape na Rais are reading from the same script na sasa kama mnadhani bwana mkubwa atamtosa Nape basi mtasubiri sana kama yule fisi na mkono wa binadamau. Hakuna kurudi nyuma. Waanzishe chama ambacho hakina maadili kuliko kung'ang'ania kitu kisichowafaa.</font>
<br />
Tehe tehe, hii tamu sana, kwa nini hawakupewa barua mara moja baada ya kikao ambacho na wao wenyewe walishiriki.
Mmeendelea kuwapa muda ambao wanajiweka sawa na kuipa taarifa ambazo wasingeliweza kufanya hivyo kama mngeliwapiga rungu ya kisogoni mara moja.
Huku mtaani tunawasoma kwa matamko yenu yasiyo na sura inayoeleweka, yaani hatupati picha rasmi - ukicheka na nyani shuruti uvune mabua.
Huko ndiko mwenyekiti anakokipeleka chama kwa ari zaidi, nguvu zaidi na kasi zaidi.