Unataka kujua umri wa Bujibuji?? Pitia hapa

Bujibuji Simba Nyamaume

JF-Expert Member
Feb 4, 2009
74,427
154,272
Bujibuji amezaliwa enzi za chama kimoja,
kaunda sana magari ya waya,
kacheza sana vinyengo, madaso a.k.a chandimu.
Kala sana kabunguja, na magili ya samaki.
Katumia sana maneno tekude, kishtobe, gashi, kumaanisha wanasichana.
katumia sana maneno ndata, mwela, boykaka, kumaanisha polisi.
Nimetumia sana misamiati ya kudinyanyana, kufanya matusi, kurukia etc kwa maana ya kufulungunyuka
kanywa sana pawa namba wani, nyuki ya dokta, ila hakubahatika kunywa kadansana.
Ahhh nimetaja kadansana tayari stimu zimepanda na nimesha sahau nilichikuwa naandika
 
Bujibuji amezaliwa enzi za chama kimoja,
kaunda sana magari ya waya,
kacheza sana vinyengo, madaso a.k.a chandimu.
Kala sana kabunguja, na magili ya samaki.
Katumia sana maneno tekude, kishtobe, gashi, kumaanisha wanasichana.
katumia sana maneno ndata, mwela, boykaka, kumaanisha polisi.
Nimetumia sana misamiati ya kudinyanyana, kufanya matusi, kurukia etc kwa maana ya kufulungunyuka
kanywa sana pawa namba wani, nyuki ya dokta, ila hakubahatika kunywa kadansana.
Ahhh nimetaja kadansana tayari stimu zimepanda na nimesha sahau nilichikuwa naandika

Heh ha aha aha aha kweli wewe wa kitambo ingawa hili neno still linatumika.:A S thumbs_up:
 
Bujibuji amezaliwa enzi za chama kimoja,
kaunda sana magari ya waya,
kacheza sana vinyengo, madaso a.k.a chandimu.
Kala sana kabunguja, na magili ya samaki.
Katumia sana maneno tekude, kishtobe, gashi, kumaanisha wanasichana.
katumia sana maneno ndata, mwela, boykaka, kumaanisha polisi.
Nimetumia sana misamiati ya kudinyanyana, kufanya matusi, kurukia etc kwa maana ya kufulungunyuka
kanywa sana pawa namba wani, nyuki ya dokta, ila hakubahatika kunywa kadansana.
Ahhh nimetaja kadansana tayari stimu zimepanda na nimesha sahau nilichikuwa naandika

Ulitokea usingizini nini,ndipo ukaandika haya?
 
Bujibuji amezaliwa enzi za chama kimoja,
kaunda sana magari ya waya,
kacheza sana vinyengo, madaso a.k.a chandimu.
Kala sana kabunguja, na magili ya samaki.
Katumia sana maneno tekude, kishtobe, gashi, kumaanisha wanasichana.
katumia sana maneno ndata, mwela, boykaka, kumaanisha polisi.
Nimetumia sana misamiati ya kudinyanyana, kufanya matusi, kurukia etc kwa maana ya kufulungunyuka
kanywa sana pawa namba wani, nyuki ya dokta, ila hakubahatika kunywa kadansana.
Ahhh nimetaja kadansana tayari stimu zimepanda na nimesha sahau nilichikuwa naandika

Bila shaka Bujjie aliishi Arusha wakati wa udogo wake...
 
0 Reactions
Reply
Back
Top Bottom