Unataka kuijua CHADEMA? Angalia hapa

acha ujinga kama unaushahidi na hayo unayo sema kamwambie nape si kuna sheria ya pesa haramu mwende kwa jk mkalishulikie usituletee ujinga.
kama waziri mkuu kulia eti alibino ameuwawa..... machozi hayasaidii chukuwa hatua mzee wacha kubwabwaja na maswali yako hata hizo pesa wala uthitisho hujaleta mimi nikisema wewe umeolewa na yule naniihiiiiii


Mkuu hapa usilete hasira toa pointi sio kuniambia nikamuulize Nape kwani Nape nani yangu mimi? Toa pointi acha ushabiki sawa?
 
Ujamaa unaotaka wewe na magamba wenzio nadhani ni ule wa CHENGE kukutwa na mapesa nje ya nchi LOWASA kuwa tajiri kuliko watu wote monduli RIDHIWAN kumiliki maloli mengi ya mizigo...NYAMBAFUUUUUUUUUUUUUU.

Sisi hatujafundishwa kutukana bwana. Wewe uko nje ya pointi huwezi kujitetea unaniambia wenzangu magamba hapa tunaongelea CDM usipotoshe pointi sawa?
 
Chadema ni chama kilichoanzishwa kwa mfumo wa kibepari. Kwahiyo Msingi mkuu wa chadema ni ubepari.
Mwanzilishi wa Chadema ni Mzee Mtei ambaye alitofautiana na baba wa Taifa Mwalimu Julius Kambarage Nyerere.
Tofauti yao ni kuhusu sera za IMF Mtei alikuwa anaunga mkono bali Nyerere alikataa sera za kibepari.

Kwahiyo Sera za kibepari msingi wake mkuu ni mtaji (Pesa).
Kimekuwa kikipata misaada ya chini chini kutoka katika nchi za magharibi kama Uholanzi na zingine, kitendo ambocho kinanipa mashaka kuwa vipi pesa hizo zitalipwa. Ninadhani kuna makubaliano ya chini kwa chini ambayo watu wengi hatuyajui.

CHADEMA kimejitahidi sana kuwafundisha wanachama wake kutohoji mapato na matumzi ya chama. Hii ni mbinu ambayo imetumiwa na CHADEMA kuwaaminisha wanachama dhidi ya viongozi kuwa wao hawana doa.

na hii ni hatari sana.
Unahitaji shahada ngapi kujua mtoa thread ameishiwa baada ya kuanza kupost? Kweli nikiangalia hapa nitajua undani wa CDM? Shame on you!! Huna lolote. IMF tumejiunga au hatujajiunga? Hivi wale wafuasi wa Nyerere si ndio hao mafisadi waliopo CCM. Kipi bora kukubaliana na sera wazi wazi au kuhubiri maji na kubugia GONGO? Acha unafiki!!
 
Ubepari tatizo lake ni kwamba mwenyenacho ndie anayepata na siye nacho ataendelea kuwa mnyonge.

Ni tofauti kabisa na mfumo wa kijamaa.
Jaribu kujikumbusha Uraia au siasa darasa la tatu shule ya msingi.

Maisha halisi ya Kitanzania kwa sasa ni ya Kijamaa au Kibepari, nini ubaya wa ubepari?, nipe taarifa ya mapato na matumizi ya chama chako cha ccm.
 
Sasa Hivi wewe unapata, Je Una uhakika na sisi tunapata kama wewe? Mijitu Mingine bana ikishapata inajua kila mtu anapata kama yeye so inadhani nchi hii kuna ujamaa.

Ndio mkakati uliopo sasa tunataka turudi katika ujamaa. Usiwe na wasi wasi mchakato wa katiba toa mawazo mazuri tu.
 
Chadema ni chama kilichoanzishwa kwa mfumo wa kibepari. Kwahiyo Msingi mkuu wa chadema ni ubepari.
Mwanzilishi wa Chadema ni Mzee Mtei ambaye alitofautiana na baba wa Taifa Mwalimu Julius Kambarage Nyerere.
Tofauti yao ni kuhusu sera za IMF Mtei alikuwa anaunga mkono bali Nyerere alikataa sera za kibepari.

Kwahiyo Sera za kibepari msingi wake mkuu ni mtaji (Pesa).
Kimekuwa kikipata misaada ya chini chini kutoka katika nchi za magharibi kama Uholanzi na zingine, kitendo ambocho kinanipa mashaka kuwa vipi pesa hizo zitalipwa. Ninadhani kuna makubaliano ya chini kwa chini ambayo watu wengi hatuyajui.

CHADEMA kimejitahidi sana kuwafundisha wanachama wake kutohoji mapato na matumzi ya chama. Hii ni mbinu ambayo imetumiwa na CHADEMA kuwaaminisha wanachama dhidi ya viongozi kuwa wao hawana doa.

na hii ni hatari sana.


KWANI ccm WANAFATA mFUMO GANI VILE....Kweli watu wengine wana uyatima wa akili
 
Pumba tupuuuuu! Huna hoja naona unajikanyagakanyaga tu fisadi wewe. Huna jipya!!!! Uwe unafikiri kwanza kabla ya kuandika badala ya kutundika pumba zako hapa.

Pumba ipi mbona husahihishi? toa maelekezo ya kitu ambacho sio pumba ili watu wakusikie sio kuandika vitu bila kufafanua.
 
vipi wajamaa ambao hawafungi mafisadi na mabepari wanaotaka kuwafunga mafisadi ndani ya ccm hujui siasa kajichimbie ccm kivukoni wakupige msasa you are stil a baby in politics sorry bye:clap2:
 
Hiyo ni slogani. Je wananchi ndio wanaamua nani awe mwenyekiti wa chama? je wanaaamua kuwa nani awe mbunge wa jimbo fulani? kama sio je maana ya nguvu ya umma iko wapi?

Ninachotaka pia unipe Experience ya Mbowe. Je alikuwa mpiga Disco? nijibu maswali yangu yote usikimbie sawa?
Ni slogani inayobeba Agenda nzima ya msingi wa CHAMA.Maswali mengine yote uliyouliza jibu ni ndiyo.
 
Soma maelezo yangu vizuri ndio ukometi sio kuingilia kati na kukomenti hujui imetokea wapi.

Nimesema CCM imejikwaa sasa inarejea awali. Je wewe nipe Historia fupi ya CHADEMA na msingi wake mkuu.
Mpishi mzuri hujulikana kwa mapishi yake na si maneno matupu. CDM waliaminiwa Karatu wakafanya wonders, wakaaminiwa Manispaa ya Moshi the cleaness manicipal in Africa, wakaaminiwa Tarime watoto wa masikini wakasoma bure, wameaminiwa Musoma mjini, jijini mwanza, Hai, Kigoma mjini n.k, kwa mujibu wa CAG Halmashauri zinazoongozwa na chadema ni kati ya halmashauri chache zenye hati safi za ukaguzi. In leadership aspect CDM wameproove greater success. Vipi CCM na utawala wa mishahara hewa, kutorosha twiga, biashara haramu ya magogo, wizi wa fedha Hazina, uuzaji wa viwanja kitapeli, utoroshwaji wa madini, kuua viwanda, kuwalisha wananchi mapanki, ndio ujamaa unaoupigia debe?
 
Maisha halisi ya Kitanzania kwa sasa ni ya Kijamaa au Kibepari, nini ubaya wa ubepari?, nipe taarifa ya mapato na matumizi ya chama chako cha ccm.

Waulize CCM mimi sio CCM sawa tafadhar bwana.
 
Chadema ni chama kilichoanzishwa kwa mfumo wa kibepari. Kwahiyo Msingi mkuu wa chadema ni ubepari.
Mwanzilishi wa Chadema ni Mzee Mtei ambaye alitofautiana na baba wa Taifa Mwalimu Julius Kambarage Nyerere.
Tofauti yao ni kuhusu sera za IMF Mtei alikuwa anaunga mkono bali Nyerere alikataa sera za kibepari.

Kwahiyo Sera za kibepari msingi wake mkuu ni mtaji (Pesa).
Kimekuwa kikipata misaada ya chini chini kutoka katika nchi za magharibi kama Uholanzi na zingine, kitendo ambocho kinanipa mashaka kuwa vipi pesa hizo zitalipwa. Ninadhani kuna makubaliano ya chini kwa chini ambayo watu wengi hatuyajui.

CHADEMA kimejitahidi sana kuwafundisha wanachama wake kutohoji mapato na matumzi ya chama. Hii ni mbinu ambayo imetumiwa na CHADEMA kuwaaminisha wanachama dhidi ya viongozi kuwa wao hawana doa.

na hii ni hatari sana.

Hamkawii kusema sababu ya chadema ndo maana Tanzania inadaiwa trilion 22
 
Ubepari tatizo lake ni kwamba mwenyenacho ndie anayepata na siye nacho ataendelea kuwa mnyonge.

Ni tofauti kabisa na mfumo wa kijamaa.
Jaribu kujikumbusha Uraia au siasa darasa la tatu shule ya msingi.
Annael, hebu tuambie ni nani alieliua Azimio la Arusha na misingi yake ya ujamaa na kujitegemea kule Zanzibar? kama sikosei ni kamati kuu ya CHADEMA chini ya uenyekiti wa mzee ruksa a.k.a mzee Ali Hasan Mwinyi! au vipi? ebu tupe Darsa mkuu mchambuzi wa mambo ya CHADEMA!
 
Hizi ni pumba za Cyprian Majura Musiba. Msihangaike naye huyu, anajikomba komba apate cheo
 
suala si ubebari bali ni kuleta mabadiliko ya kweli yanayoonekana machoni pa watu kama vp tuonane 2015 magamba wataipenda
 
Back
Top Bottom