Unataka kuijua CHADEMA? Angalia hapa

Ubepari tatizo lake ni kwamba mwenyenacho ndie anayepata na siye nacho ataendelea kuwa mnyonge.

Ni tofauti kabisa na mfumo wa kijamaa.
Jaribu kujikumbusha Uraia au siasa darasa la tatu shule ya msingi.
Sasa tatizo ni nini hapa? sisi ni nchi ya Kijamaa? Wapi katika maandiko ya taratibu zetu za maisha imeandikwa kwamba Ubepari ni haramu katika eneo lote la Jamhuri ya Muungano wa Tanzania? Wewe Binafsi unaishi kijamaa?
 
Chadema ni chama kilichoanzishwa kwa mfumo wa kibepari. Kwahiyo Msingi mkuu wa chadema ni ubepari.
Mwanzilishi wa Chadema ni Mzee Mtei ambaye alitofautiana na baba wa Taifa Mwalimu Julius Kambarage Nyerere.
Tofauti yao ni kuhusu sera za IMF Mtei alikuwa anaunga mkono bali Nyerere alikataa sera za kibepari.

Kwahiyo Sera za kibepari msingi wake mkuu ni mtaji (Pesa).
Kimekuwa kikipata misaada ya chini chini kutoka katika nchi za magharibi kama Uholanzi na zingine, kitendo ambocho kinanipa mashaka kuwa vipi pesa hizo zitalipwa. Ninadhani kuna makubaliano ya chini kwa chini ambayo watu wengi hatuyajui.

CHADEMA kimejitahidi sana kuwafundisha wanachama wake kutohoji mapato na matumzi ya chama. Hii ni mbinu ambayo imetumiwa na CHADEMA kuwaaminisha wanachama dhidi ya viongozi kuwa wao hawana doa.

na hii ni hatari sana.

Hahahahahaaaaa ...."MTU MPUMBAVU HATA UKIMTWANGA KWENYE KINU PAMOJA NA NGANO UPUMBAVU WAKE HAUMTOKI".....You are raito....
 
Chadema ni chama kilichoanzishwa kwa mfumo wa kibepari. Kwahiyo Msingi mkuu wa chadema ni ubepari.
Mwanzilishi wa Chadema ni Mzee Mtei ambaye alitofautiana na baba wa Taifa Mwalimu Julius Kambarage Nyerere.
Tofauti yao ni kuhusu sera za IMF Mtei alikuwa anaunga mkono bali Nyerere alikataa sera za kibepari.

Kwahiyo Sera za kibepari msingi wake mkuu ni mtaji (Pesa).
Kimekuwa kikipata misaada ya chini chini kutoka katika nchi za magharibi kama Uholanzi na zingine, kitendo ambocho kinanipa mashaka kuwa vipi pesa hizo zitalipwa. Ninadhani kuna makubaliano ya chini kwa chini ambayo watu wengi hatuyajui.

CHADEMA kimejitahidi sana kuwafundisha wanachama wake kutohoji mapato na matumzi ya chama. Hii ni mbinu ambayo imetumiwa na CHADEMA kuwaaminisha wanachama dhidi ya viongozi kuwa wao hawana doa.

na hii ni hatari sana.

Ni bora kupata misaada kwa njia yoyote ile kuliko chama tawala na serikali yake kinavyojiendesha kwa kuibia walala hoi wa kitanzania na kuwasababishia ugumu wa maisha ktk miaka 50 ya uhuru, ufisadi wa epa, richmond,kagoda, meremeta rada, misamaha ya kodi, matumizi mabaya ya hela za serikali nk, unaonyesha unadalili za ukia (ukosefu wa kinga akilini). nchi hii itajengwa na kuenelezwa na watz, lakini kama tunamawazo butu, basi huo ni ukia.
 
Ubepari tatizo lake ni kwamba mwenyenacho ndie anayepata na siye nacho ataendelea kuwa mnyonge.

Ni tofauti kabisa na mfumo wa kijamaa.
Jaribu kujikumbusha Uraia au siasa darasa la tatu shule ya msingi.

kwani ccm inatumia mfumo upi mbona mwenyenacho ndiyo anaeongezewa hata ukienda kukomba utaulizwa kmunamilik nyumba ya thamani gani, tukienda kwenye eiu ene nch ndyo wanao soma st wakati watoto wasio nacho wanasoma shule ambazo wanamaliza hata kuandika jina lake hawezi
 
Chadema ni chama kilichoanzishwa kwa mfumo wa kibepari. Kwahiyo Msingi mkuu wa chadema ni ubepari.
Mwanzilishi wa Chadema ni Mzee Mtei ambaye alitofautiana na baba wa Taifa Mwalimu Julius Kambarage Nyerere.
Tofauti yao ni kuhusu sera za IMF Mtei alikuwa anaunga mkono bali Nyerere alikataa sera za kibepari.

Kwahiyo Sera za kibepari msingi wake mkuu ni mtaji (Pesa).
Kimekuwa kikipata misaada ya chini chini kutoka katika nchi za magharibi kama Uholanzi na zingine, kitendo ambocho kinanipa mashaka kuwa vipi pesa hizo zitalipwa. Ninadhani kuna makubaliano ya chini kwa chini ambayo watu wengi hatuyajui.

CHADEMA kimejitahidi sana kuwafundisha wanachama wake kutohoji mapato na matumzi ya chama. Hii ni mbinu ambayo imetumiwa na CHADEMA kuwaaminisha wanachama dhidi ya viongozi kuwa wao hawana doa.

na hii ni hatari sana.


Nilipoanza kuisoma post yako nilidhani unamjadala wa maana.Nijuavyo mimi ubepari ndo mfumo unaotawala dunia hivi sasa, ndo maana hata CCM imeutupa kwa vitendo ujamaa wa marehemu Baba wa Taifa na kuwakumbatia mafisadi na matajiri wenye fedha. Kuhusu kuhoji mapato na matumizi, Watanzania wote tuna hulka hiyo ya kutokuhoji, si wanachama wa CHADEMA peke yao. Ndiyo maana hatuhoji mabilioni yaliyotolewa na serikali katika mdororo wa uchumi wa dunia uliopita ziligawiwa kwa kampuni gani na zilileta tija kiasi gani, Mabilioni ya EPA yaliyorudishwa serikalini yako wapi na yametumikaje, Chenji ya rada iko wapi na imetumikaje? Je hii si hatari pia?
 
Sasa tatizo ni nini hapa? sisi ni nchi ya Kijamaa? Wapi katika maandiko ya taratibu zetu za maisha imeandikwa kwamba Ubepari ni haramu katika eneo lote la Jamhuri ya Muungano wa Tanzania? Wewe Binafsi unaishi kijamaa?

Sisi Watanzania "SIO CHADEMA" hatutaki ubepari pili tunataka tuelewe historia ya CHADEMA na kwanini ilianzishwa tatu Mtupe maelezo ya kutosha kwanini Mtei ashindwane na Nyerere? Na nchi ya Uholanzi inafadhili chadema kwa misingi ipi?

Kuhusu CCM nani asiye jua Historia yake? Ni muungano wa vyama viwili TANU na ASP ili kuimarisha muungano.

Acheni kuongea tu LAZIMA MKIELEWE CHAMA CHENU VIZURI SIO KUPELEKWA.
 
Sisi Watanzania "SIO CHADEMA" hatutaki ubepari pili tunataka tuelewe historia ya CHADEMA na kwanini ilianzishwa tatu Mtupe maelezo ya kutosha kwanini Mtei ashindwane na Nyerere? Na nchi ya Uholanzi inafadhili chadema kwa misingi ipi?

Kuhusu CCM nani asiye jua Historia yake? Ni muungano wa vyama viwili TANU na ASP ili kuimarisha muungano.

Acheni kuongea tu LAZIMA MKIELEWE CHAMA CHENU VIZURI SIO KUPELEKWA.
Chadema ilianzishwa kihalali kwa mujibu wa sheria ya vyama vya siasa ya mwaka 1992, ilikidhi vigezo vyote vya kisheria na kikatiba ndio maana vyombo vya serikali vinavyosimamia sheria za nchi yetu havina tatizo lolote na uwepo wa chama hiki, namna kinavyojiendesha wala mambo kinayodai kuyasimamia.

Unaposema sisi watanzania sio CHADEMA nadhani umejisahau kwamba mimi binafsi ni mtanzania, tena mtanzania kindaki ndaki na sio kama baadhi ya wana CCM wenzako wengi tu kama BASHE,KINANA,MUNGAI,n.k

Kuhusu ubepari unaonekana ni mtu usiyekuwa na uelewa wowote ule juu ya mifumo ya kiuchumi na namna inavyopata nafasi ya ushiriki kwenye Jamii tofauti tofauti, achilia mbali kwamba inaonyesha hauelewi serikali inayoongozwa na chama chako inafuata mfumo upi wa uchumi.

Kuhusu Kutoelewana kwa Mtei na Nyerere, labda tungeanza kuelezana ni nini kinafanya mimi na wewe tusielewane kwanza kabla ya kurukia mambo ya watu wengine, na kama wewe unaona ni makosa makubwa sana kwa mtu kukosana na nyerere basi tueleze pia hizi habari zinazodai kwamba aliyekuwa mwenyekiti wa chama chako anaelewa sababu za Kifo chake ambazo sisi hatuzijui zina ukweli gani.
 
mkubwa! Annael unakumbuka vizur nilikwambia wewe ni mwana magamba,tena damudamu na mpenzi wa CCM? nakumbuka ulikuja juu sana na kukana kuwa wewe si mwanaCCM,na nikawa nakuliza kwanini unajificha?
Sasa naomba leo uniambie kutokana na Thead yako hii utakanusha kuwa wewe ni adui wa CHADEMA na upo hapa jamvini kwa posho ilimladi kuizushia uongo CDM?Naomba majibu tafadhari kwa kila swali langu
 
Last edited by a moderator:
Chadema ilianzishwa kihalali kwa mujibu wa sheria ya vyama vya siasa ya mwaka 1992, ilikidhi vigezo vyote vya kisheria na kikatiba ndio maana vyombo vya serikali vinavyosimamia sheria za nchi yetu havina tatizo lolote na uwepo wa chama hiki, namna kinavyojiendesha wala mambo kinayodai kuyasimamia.

Unaposema sisi watanzania sio CHADEMA nadhani umejisahau kwamba mimi binafsi ni mtanzania, tena mtanzania kindaki ndaki na sio kama baadhi ya wana CCM wenzako wengi tu kama BASHE,KINANA,MUNGAI,n.k

Kuhusu ubepari unaonekana ni mtu usiyekuwa na uelewa wowote ule juu ya mifumo ya kiuchumi na namna inavyopata nafasi ya ushiriki kwenye Jamii tofauti tofauti, achilia mbali kwamba inaonyesha hauelewi serikali inayoongozwa na chama chako inafuata mfumo upi wa uchumi.

Kuhusu Kutoelewana kwa Mtei na Nyerere, labda tungeanza kuelezana ni nini kinafanya mimi na wewe tusielewane kwanza kabla ya kurukia mambo ya watu wengine, na kama wewe unaona ni makosa makubwa sana kwa mtu kukosana na nyerere basi tueleze pia hizi habari zinazodai kwamba aliyekuwa mwenyekiti wa chama chako anaelewa sababu za Kifo chake ambazo sisi hatuzijui zina ukweli gani.

Mimi sija sema hakina uhalali kisheria hapa ni mfumo wake jinsi ulivyo.

1. Ninataka ulete historia ya chadema na utendaji wake wa kazi.
2. Ni kwanini Nyerere na Mtei walikorofishana na ikapelekea Mtei ahame na kuanzisha CHADEMA?
3. Nieleze kwanini Kaburu alihama CHADEMA na kurudi CCM?
4. Nchi kama ya china si ya kibepari lakini ndio sasa inayo tisha kiuchumi duniani. So sisi watanzania hatutaki Kuwa na UTAWALA BORA bali UONGOZI BORA, hii ndio MSINGI MKUU WA CCM.

CCM wamejikwaa sasa wanarejea mwanzo.


Nikuulize swali na unijibu usikwepe. Msingi mkuu wa CHADEMA ni nini?
 
Chadema ni chama kilichoanzishwa kwa mfumo wa kibepari. Kwahiyo Msingi mkuu wa chadema ni ubepari.
Mwanzilishi wa Chadema ni Mzee Mtei ambaye alitofautiana na baba wa Taifa Mwalimu Julius Kambarage Nyerere.
Tofauti yao ni kuhusu sera za IMF Mtei alikuwa anaunga mkono bali Nyerere alikataa sera za kibepari.

Kwahiyo Sera za kibepari msingi wake mkuu ni mtaji (Pesa).
Kimekuwa kikipata misaada ya chini chini kutoka katika nchi za magharibi kama Uholanzi na zingine, kitendo ambocho kinanipa mashaka kuwa vipi pesa hizo zitalipwa. Ninadhani kuna makubaliano ya chini kwa chini ambayo watu wengi hatuyajui.

CHADEMA kimejitahidi sana kuwafundisha wanachama wake kutohoji mapato na matumzi ya chama. Hii ni mbinu ambayo imetumiwa na CHADEMA kuwaaminisha wanachama dhidi ya viongozi kuwa wao hawana doa.

na hii ni hatari sana.

Hapo kwenye blue mbona hueleweki? Wakati mwingine ni bora kusoma thread za watu wengine kuliko kupost matapishi..
 
mkubwa! Annael unakumbuka vizur nilikwambia wewe ni mwana magamba,tena damudamu na mpenzi wa CCM? nakumbuka ulikuja juu sana na kukana kuwa wewe si mwanaCCM,na nikawa nakuliza kwanini unajificha?
Sasa naomba leo uniambie kutokana na Thead yako hii utakanusha kuwa wewe ni adui wa CHADEMA na upo hapa jamvini kwa posho ilimladi kuizushia uongo CDM?Naomba majibu tafadhari kwa kila swali langu

Ndugu yangu hayo ya kusema mimi ni adui wa CHADEMA ni yako tu. Mimi hapa ninachokisema Chama jinsi kilivyo.
Je mtu akitakakuhoji au kuelezea jinsi kitu kilivyo amekua adui? Kama nimekosea ukanushe kwa pointi. Mimi hapa sina uadui na chama chochote ila ninakerwa na sera finyu za baadhi ya vyama vya siasa.


Kama ninacho sema uongo toa pointi zako sawa?
 
mimi sija sema hakina uhalali kisheria hapa ni mfumo wake jinsi ulivyo.

1. Ninataka ulete historia ya chadema na utendaji wake wa kazi.
2. Ni kwanini nyerere na mtei walikorofishana na ikapelekea mtei ahame na kuanzisha chadema?
3. Nieleze kwanini kaburu alihama chadema na kurudi ccm?
4. Nchi kama ya china si ya kibepari lakini ndio sasa inayo tisha kiuchumi duniani. So sisi watanzania hatutaki kuwa na utawala bora bali uongozi bora, hii ndio msingi mkuu wa ccm.

Ccm wamejikwaa sasa wanarejea mwanzo.


Nikuulize swali na unijibu usikwepe. Msingi mkuu wa chadema ni nini?
nguvu ya uma.
 
Chadema ni chama kilichoanzishwa kwa mfumo wa kibepari. Kwahiyo Msingi mkuu wa chadema ni ubepari.
Mwanzilishi wa Chadema ni Mzee Mtei ambaye alitofautiana na baba wa Taifa Mwalimu Julius Kambarage Nyerere.
Tofauti yao ni kuhusu sera za IMF Mtei alikuwa anaunga mkono bali Nyerere alikataa sera za kibepari.

Kwahiyo Sera za kibepari msingi wake mkuu ni mtaji (Pesa).
Kimekuwa kikipata misaada ya chini chini kutoka katika nchi za magharibi kama Uholanzi na zingine, kitendo ambocho kinanipa mashaka kuwa vipi pesa hizo zitalipwa. Ninadhani kuna makubaliano ya chini kwa chini ambayo watu wengi hatuyajui.

CHADEMA kimejitahidi sana kuwafundisha wanachama wake kutohoji mapato na matumzi ya chama. Hii ni mbinu ambayo imetumiwa na CHADEMA kuwaaminisha wanachama dhidi ya viongozi kuwa wao hawana doa.

na hii ni hatari sana.


Pumba tupuuuuu!!!!!...juhudi zako za kuipaka matope CDM kamwe hazitafanikiwa
 
Hapo kwenye blue mbona hueleweki? Wakati mwingine ni bora kusoma thread za watu wengine kuliko kupost matapishi..

Hujaelewa kitu gani sasa? CHADEMA INAFADHILIWA NA NCHI ZA MAGHARIBI HUELEWI TU?
 
Watu wengine bana, ulikaa kabsa na kuandika hii thread, elimu yako na wasiwasi nayo!
 
nguvu ya uma.

Hiyo ni slogani. Je wananchi ndio wanaamua nani awe mwenyekiti wa chama? je wanaaamua kuwa nani awe mbunge wa jimbo fulani? kama sio je maana ya nguvu ya umma iko wapi?

Ninachotaka pia unipe Experience ya Mbowe. Je alikuwa mpiga Disco? nijibu maswali yangu yote usikimbie sawa?
 
chadema ni chama kilichoanzishwa kwa mfumo wa kibepari. Kwahiyo msingi mkuu wa chadema ni ubepari.
Mwanzilishi wa chadema ni mzee mtei ambaye alitofautiana na baba wa taifa mwalimu julius kambarage nyerere.
Tofauti yao ni kuhusu sera za imf mtei alikuwa anaunga mkono bali nyerere alikataa sera za kibepari.

Kwahiyo sera za kibepari msingi wake mkuu ni mtaji (pesa).
Kimekuwa kikipata misaada ya chini chini kutoka katika nchi za magharibi kama uholanzi na zingine, kitendo ambocho kinanipa mashaka kuwa vipi pesa hizo zitalipwa. Ninadhani kuna makubaliano ya chini kwa chini ambayo watu wengi hatuyajui.

Chadema kimejitahidi sana kuwafundisha wanachama wake kutohoji mapato na matumzi ya chama. Hii ni mbinu ambayo imetumiwa na chadema kuwaaminisha wanachama dhidi ya viongozi kuwa wao hawana doa.

Na hii ni hatari sana.

mtu mpumbavu hata ukimtwanga kwenye kinu pamoja na ngano upumbavu wake haumtoki
 
Watu wengine bana, ulikaa kabsa na kuandika hii thread, elimu yako na wasiwasi nayo!

Kuhusu elimu yangu si Muhimu sana Lakini mimi ninaandika ninayojua wewe si hutaki kufuatilia mambo kaa viyo hivyo tu.
 
Back
Top Bottom