Mess
JF-Expert Member
- Mar 2, 2009
- 661
- 181
ukiambiwa umekosea na ukagundua kweli umekosea kubali na useme asante kwa kurekebishwa, acha ubishi, tunashukuru kwa kupost hiyo link kwani utasaidia watu wengi ingawa tayari calvinpower alishaipost zamani nadhani wewe ulikuwa hujajiunga JF.
Kaka kakukosesha kibiashara chako au?